Kigoma Kigoma Kigoma.
Tatizo kubwa linalosumbua Ni wivu miongoni mwa wananchi. Huwasingizia wenzao Ni wachawi Kwa kuwa wana maenseleo kuwazidi hivyo hula njama Na kuwaleta Kamchape ili wawadhalilishe wenzao.
Kamchape Kwa kuelewa udhaifu huo Wa wanachi huwaibia wanachi pesa mifugo n.k Kwa ajili...
Kuna Vitu huwez kukaa ukasamee, ebu twambie nini nia ya lipumba kukiacha chama katika ile mda wa kampeni pamoja na kupigiwa magoti sana. Hivo unaweza kudharau nguvu ya lowasa katika ushindi wa SAKAYA.
Hivo ni kweli huoni ni namna gani Lipumba anatumika, Harafu eti wakae meza moja, ili iwe nini.
Sheria unasema juu ya swala hili. Ni kweli kwamba Mke mdogo hatambuliki kisheria kwa MTU aliyefunga ndoa kanisani????
UOTE="Mamndenyi, post: 16101976, member: 41512"]
Huyo bi mdogo ndo chanzo cha mke mkubwa kutimka;
Wana familia mlitakiwa msuluhishe hilo wakati kaka yenu akiwa hai;
Hata wakati...
Naomba ufafanuzi wa mirathi ya wake ewawili.
Nina kaka yangu aliyefariki miaka miwili iliyopita akiwa na wake wawili. Mke wa kwanza alifunga naye ndoa kanisani na amezaa naye watoto wanne na Mke wa pili amezaa alimtolea mahali ya kimila na amezaa naye watoto watatu.
Wakati anafariki Mke wake wa...
Wanajamii forums naombeni msaada. Nina mtoto wa miezi miwili hapati choo. Tatizo lake lilianza akiwa na wiki kama mbili choo akawa hapati ingawa mwanzoni alikuwa akipata choo vizuri tu.
Anaenda mpaka siku saba hivo tunalazimika 'Kumuinika' ili apate choo na kinatoka choo kingi sana.
Mtoto huyu...
Nimeumwa na kichwa mpaka nikadondoka. Kucheck nikakutwa na vp ya 170/120. Nikapewa dawa ya kushusha lakini kesho yake nikapima 199/128. Nikabadilishiwa dawa, Leo nimepima 175/113. Mbali na ile ya kuanguka, sijikii vibaya lakini vipimo vinaonyesha hali yangu si nzuri jiata kidogo. Naombeni msaada...
Msituletee upumbavu wenu, Kama kuna mtu ametuharibia big time watu wa kigoma ni huyu ZITTO. Tumeonekana si watu wakuaminika kabisa katika sehemu tulizopo. Kwa mtu yeyote wa KIGOMA anayeshabikia mambo aliyofanya/anayoyafanya ZITTO atakuwa haelewi madhara yake huko mbeleni. Baada ya NSANZUNGWAKO...
Hili JAMBAZI limeshakwapua sehemu linawahonga vijana PIKIPIKI.
Kiukweli kinachouma sana katika siasa za TZ ni ushiriki mkubwa wa watu wa hovyo kama huyu.
Huyu DIWAN amejaa DAMU za watu kwa ujambazi alio na anaoendelea kuufanya.
Ni mtu hatari wa kuogopwa kabisa na hasa wenye magari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.