Ni kwa masikitiko makubwa naamua kuandika waraka huu kama kumbukumbu itakayobaki katika vina vya historia juu ya chuo changu nilichosoma miaka ya nyuma, na sasa kikielekea kusikojulikana. Ila yote namesababishwa na kiumbe huyu mwenye mikosi aitwaye Neto Ndelito.
Neto Ndelito alisoma chuoni hapo...
ni kweli ajali imetokea ila sii mbaya kama unavyoitaja
ajali imetokea sehemu inaitwa maili sita na gari tajwa hapo juu limeingia mtaroni ila hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
gari tuu ndilo limeumia
Nami katika kupekua literature nimekutana na hii article. Subject: *Why are Jews so powerful?* what is interesting ni kuwa imeandikwa na Muislamu wa Pakistan. Jisomeeni wenyewe.
HAPA - Why are Jews so powerful?
Wanaoandamana kwa ajili ya hili eti la watoto wamebishana na kupelekea msaafu kukojolewa they are all in sane. Very hopeless, why dont you do something valuable, hamnaga vitu vya kufanya vya maana??? Siting somewhere waiting who is doing what or saying something mpate la kuandamania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.