Wadau wa JF heshima yenu wakubwa kwa wadogo, naombeni mnisaidie kuhusu hili suala la kukatika kwa umeme kila siku hivi huu ni mgao ama ni tatizo tuu la muda. Nashindwa kuelewa kwanini TANESCO wasitangaze kama tunaanza mgao maana ikifika jioni tu umeme unakatwa na kurudi kwake ni saa saba usiku...
Kumbuka mwanaume ni yule mwenye maamuzi ya busara sana.....jamii ni kioo chetu lakini sio lazima iingilie masuala binafsi...kumbuka ndo huenda na upendo, uwezi, huruma na amani. Kama utaoa mke kwa kuipendezesha jamii huyo atakuwa mke wa jamii lakini kama unaoa mke kwa ajili yako chagua yule...
Aslm waungwana....Bwana Yesu asifiwe....Mamboz
Habari za masiku tele....wapinzani hongereni kwa ushindi Igunga.
Naomba kukaribia tena baada ya muda mrefu natumai wana Jf mpo wote na Mola anawajaalia afya njema.
Eti ni kweli kuwa gari ni ufunguo alam mbwembwe tu:
1. ukitafuta mpenzi uangalie mambo ya msingi ikiwemo upendo wa kweli?
2. Mwanamke tabia sio sura
3. Mwanaume pesa si suruali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.