Unawashauri nini watanzania kutokana na hoja hizo ulizoziainisha?? Au unafikiri ni nani ambaye angefaa na ambaye ni mkamilifu 100%??
Nijuavyo mimi hakuna binadamu aliye mkamilifu ila Mungu peke yake!! Hata wewe mtoa hoja una mapungufu yako kama nilivyo mimi Nyahinge kwa kuwa sote ni binadamu...
Hoja ya Magufuli kuwa accidental president naipinga Kwa nguvu zote kabisa!! Kitendo cha yeye kuchukua form ya uraisi ni dhahiri kwamba amejipima na kujihakikishia kwamba ana uwezo kuwa katika nafasi hiyo kama ambavyo wagombea wangine kama Lowasa, Membe, January, Mwigulu, Amina, Migiro na wengine...
Kuhusu nyumba za serikali, maamuzi hayakuwa ya Magufuli ni issue iliyopitishwa na baraza la mawaziri likiongozwa na waziri mkuu na kupewa baraka na mheshimiwa raisi wa awamu ile,, sasa nashindwa kukuelewa unaposema Magufuli alifanya "political entrepreneurship "
Waziri mkuu wa awamu ile...
Ocampo four, hoja zako hazina mashiko inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na chuki binafsi na Magufuli!! Kama kichwa kinavyojieleza kwamba Magufuli hafai kuwa raisi,, haujasema ni nani anaefaa kuwa raisi ili tuone kama yeye yuko 100% clean!!
Ocampo nakuomba uje utueleze ni nani anayefaaa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.