Huwa mara nyingi sana nawaza kuandika uzi kuhusu customer service ya Samakisamaki pale Masaki ila nasahau sababu nakuaga high.
Sasa leo baada ya game ya Simba na Yanga nikawa najiwazia mambo mengi kujiliwaza baada pia ya kuhudumiwa vibaya na mhudumu sehemu nilipokua naangalia mpira.
Ndio...
Kama huu uwanja wa Dodoma taa zake hafifu sana hata haifurahishi kuangalia kwenye TV.. naangalia mpira wa Yanga na Dodoma jiji hapa yaani picha hovyo kabisa sababu taa hafifu
Misale ya waumini ni muongozo wa misa takatifu ambao unamasomo tofauti toka kwenye biblia.. Katoliki haijakataza kutumia biblia mkuu nyie ndio mnapotoshaga watu maana umeandika kana kwamba biblia haina maana kwa Katoliki. Walokole mnashida sana
Umenikumbusha aisee niliingia kwenye mahusiano na lidem lizuri balaa aisee afu liko so decent nikafurahia kuwa sasa ntaenjoy tendo maana kumbe lilikuaga kwenye ndoa likazinguliwa likaamua ku -move on likaja Dar kuanza life from Mwanza. Nilikua disappointed sana yaani ni hamna kitu kabisa...
Nadhani ukitaka kuwashitaki vizuri uwalipe deni lao kwanza,then nawewe uanze kuwadai fidia ya udhalilishaji walioufanya. Maana kuchelewa kulipa deni ni kawaida. BTW,ni baada ya muda gani kupita bila kulipa ndio wanaanza kuwatumia watu SMS?
Nina ushuhuda mwingi wa ndoa za wakatoliki na waislam ambazo hazina shida hata kidogo na wanaheshimiana vizuri mno....ila kwa wasabato hata mi sishauri..nadhani kuna kitu kwao
Sasa umenunua kiwanja 32m unakosaje mbavu za kujenga kitu cha maana hata mdogomdogo? Usije ifedhehesha familia yako ukajenga kitu cha ajabu ukawa maskini wa mtaa....wataishi kinyonge maisha yao yote. Mimi nakumbuka enzi za utoto kuna jirani nyumba yao ilikuaga duni afu haikuaga na umeme,mpaka...
Mkuu sio mbaya nao wanapata riziki yao... mtaani pagumu sana. Kikubwa uwe informed na unachoenda kununua.. sometimes wanasaidia pia hasa kwa machimbo mageni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.