Nafikiri CUF wataanguka kwa kujihusisha na CCM hii itakifanya chama cha CHADEMA kuwa ndo chama pekee kikuu cha upinzani huku CUF ni vibaraka wa CCM mfano wa Chifu Magustu Bhutelezi wa Afrika ya Kusini na chama chake cha Inkhata Freedom Party alivyokuwa akitumiwa na Makaburu
Tanzania ni watu wa ajabu sana badala ya kuchagua kiongozi kwa kufuata uwezo tunachagua kwa kufuata jinsia hivi kuna nchi zenye kutetea haki za wanawake kama nchi za magharibi? Lakini hutakuta wanatoa nafasi za ubunge viti maalumu kwa wanawake au wanachagua kiongozi kwa kufuata jinsia isipokuwa...
Hii imedhihirisha mambo mawili kwanza uwezo wa Kikwete kuwa kionmgozi wa nchi ni mdogo sana hakufaa kuwa rais sura ndiyo iliyomsaidia kufika hapo na si uwezo alistahili kuwa waziri wa michezo na utamaduni ni jambo la kushangaza kwake yeye kushindwa kusoma dalili za nyakati na kufuata matakwa ya...
Hilo swali haliwezi kujibika bila kuwa na jibu la Kikwete alifanya nini ili akastahili kuwa kiongozi wa Tanzania? Tanzania tunatumia presidential sysetm unaposema CHADEMA imefanya nini ili kustahili kuongoza unatupeleka kwenye Parliamentary system of governing katika presidential system rais...
Wananchi hawawezi kudhulumiwa haki halafu mtu mmoja anakuja na sera za kuwa uchaguzi umekwisha tugange yajayo ningependa kukufahamisha bwana Zawadi kuwa evolution hufanya kazi wakati mwingine na wakati mwingine haifanyi kazi isipokuwa Revolution kama ANC ilivyofanya dhidi ya Makaburu, John...
Nina maswali matatu hapa kwa wana wa Africa maana tunapoambiwa ukweli tunaona wanaotueleza ni wabaya swali la kwanza hivi inakuwaje Africa hatuendelei pamoja na rasilimali nyingi tulizo nazo? (najua kuna watu watadakia mabeberu wa ulaya sijui Singarpore, Malasia, Korea Kusini na Indonesia wao...
Ng'wanangwa siku zinakuja hapa si uchonganishi ni ukweli kwanza CCM walikuja na hila zao kuwa CHADEMA ni chama cha kikabila lakini kimewaprove wrong kwa kutwaa ubunge kila kona ya nchi isingekuwa uchakachuaji kingepata majimbo si chini ya 80 yakiwamo majimbo ya Kigoma mjini, Sumbawanga...
Hakuna ushahidi wa kura kuibiwa (ndio maana nasema huu ni ubabaishaji na uzushi). Tatizo ni kwamba watanzania tunapenda sana majungu, uzushi, umbeya baseless. Just because he was met by big crowds in campagn meeting haimaanishi kuwa zile ni kura - Unajuaje watu walikuja kusikiliza anachosema...
CCM wanalazimisha watanzania kutwaa nchi kwa nguvu ila ole wao siku zinakuja ule mtindo wa kuchezea wazanzibar kuwanyang'anya kura CUF na kulazimisha CCM kushinda hata kama imeshindwa hautafanya kazi Tanzania Bara
Inaelekea CCM wamechoka na amani ndo maana wanachakachua uchaguzi, hawa watu bila aibu wanafanya hivi halafu wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kuhubiri amani inabidi wajue kitu kimoja kuwa watu wakichoka na dhuluma hawajari tena amani.
Watakao haribu amani Tanzania ni CCM wenyewe kwa sababu hawako tayari kuachia madaraka hata kama wananchi hawawataki jambo litakalo sababisha wananchi kuchua nchi kwa nguvu
Hivi hili neno kukimbilia madaraka mnalichambuaje kati ya Kikwete na Slaa nani ni mkimbilia madaraka? Kikwete alikuwa mbunge wa miaka tisa tayari akajitosa kuwania urais wa Tanzania wakati Dk Slaa alikuwa mbunge wa miaka kumi na tano akajitosa kuwania urais kati ya hawa yupi aliwahi mapema...
Well said, hawa jamaa CCM walimpaka matope Dk Slaa pamoja na chama kizima cha CHADEMA kwa kuingiza ukabila na udini bila kujua kuwa CHADEMA kimekubalika kila kona ya nchi isingekuwa uchakachuaji kingepata zaidi ya viti vya ubunge 100 na Dk Slaa angelikuwa rais au angeshindwa kwa kura kama laki...
Lowassa aachane na hadaa zake kwa watanzania kwa sababu mwizi na jangiri mkubwa nani kamwambia kuwa watanzania wamechoka na amani hivi ni kwa nini CCM hufanay madhambi wakinyooshewa kidole wanaanza kuimba amani?
Lowassa na wenzake wanatakiwa kujua kuwa Duniani kote watu wote ni wapenda amani...
Slaa aitaka NEC isitishe matokeo
*Adai yanayotangazwa ni tofauti na kura za vituoni.
*Asema yameandaliwa makusudi kumbeba mgombea wa CCM.
*NEC yasema kama ana ushahidi awasilishe vielelezo.
Na Tumaini Makene
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa...
Naungana na CHADEMA hii dhuruma haiwezi kuvumiliwa ingawa naamini Kikwete angeweza kushinda kutokana na mtandao wa chama chake lakini si zaidi ya asilimia 51% na CHADEMA ingepata wabunge zaidi ya 100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.