Bila kujali usomi wake au kama hajasoma, binafc nitakaeoa awe radhi kukaa nyumbani na kulea familia, mambo yakuacha mtoto na dada wa kazi binafc hayana nafasi, kama ni kazi bac atafanya baada ya watoto wote mpk yule wa mwisho kuwa amefikisha umri wakwenda shule na sio chini ya miaka mitano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.