Mgogoro uliopo kata ya Mahina siyo tu kati ya Mkurugenzi wa Jiji na Mstahiki Meya James Bwire, ni mgogoro wa muda mrefu kati ya wenyeji na Bwana Bwire. Wenyenyeji wanadai Bwire na kundi lake kubwa la watu kutoka Mkoa wa mara hutumia ubabe katika kufanya maamuzi kwenye siasa, hususan maamuzi ya...
Hapa kuna walakini!. Hata kabla ya kuanza kutekeleza filosofi ya Chadema demokrasia ya chama chenyewe ilibakwa kwa kumteuwa mgombea wa nafasi ya urais kwa mtindo wa kubadilisha gia angani kama ilivyotamkwa na Mwenyekiti....
Ikitokea Kituo hicho kikavamiwa pengine na kutokea uhalifu mwanzishaji wa uzi huu na Mwananchi Said Yusuph watarahisisha kusaidia vyombo vya dola kuwakamata wahalifu ili sheria ichukue mkondo wake
Ni vema ikajulikana ili sheria ichukue mkondo wake..........Siyo siri zama hizi CDM pia inao maadui wa ndani zaidi ya CCM kufuatia mitafaruku ndani ya chama.
Nasikia na Shule ya Sekondari Mpwapwa ilifungwa wiki kadhaa zilizopita kwa ukosefu wa chakula. Ni wakati sasa Serikali itatue tatizo hili haraka iwezekanvyo
Kitendeo alichokifanya Prof Lipuma akilingani na heshima anayopewa na jamii achilia mbali kuwa wasomi wanamtegemea sana katika fani ya Uchumi na masuala mengine kwani ni mingoni mwa watu makini ambao maandiko na matamshi yake vyaweza tumiwa na wasomi kwenye tafiti za kitaaluma. Kama ni kweli ni...
Sidhani kama kama bei za chopa zilizoweka hapa jamvini ni sawa, cheki hizi hapa
1997 Md-Hughes Helicopter 600, Biglerville PA - 97042080 - Aerotrader.com
Mura andika urithi kabla ya kujinyonga ili Mkeo Maritina na wanao Nyagone, Mwita, Matinde, Robi, Tumaini na Bhoke wasije wakaleta mtafaruku wa mirathi. Waachie maagizo ya kuendeleza mapambano.
[/I][/COLOR][/B]Huo ni ushauri wa busara sana kwa wapenda amani na maendeleo. Haiwezekani kutuniana misuri wakati inafahamika kuwa Mbunge anapendwa na wapiga kura wake na hata kama itatumika nguvu kubwa ya Dola bado itakuwa ngumu hali kuwa shwari kwa kipindi kirefu hali ambayo haipendezi kwakuwa...
Kwa vyovyote vile Dr. Ulimboka lazima angesema neno analofikiri litaufurahisha umma kwa vile wengi walikuwa wanasubiri tamko lake. Siyo sahihi kwa kila atakalotamka Dr. Ulimboka ichukuliwe kuwa ni kweli kwa kuwa hakuna upande wa pili wa kudhibitisha hilo. Yawezekana kabisa kuna jambo binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.