Kusema kweli nimeshangaa na mtu huyu mjinga anahitaji kuelimishwa kiasi gani. Sisi tunajadili mambo serious ya maisha yetu halafu mtu anakuja na picha ya ku download mtandaoni? Kama unaona jambo halikuhusu chukua muda wako fanya mambo yako waache wenye nia zao wasonge mbele.
Wana Jamvi salama jamani.
Nilikuja kwenye jukwaa hili nikiwa na lengo la kupata msaada wa tatizo langu lakini kimya. Nadhani sio jukwaa sahihi:
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji...
Mimi nakaaa Kahama kwa sababu bado ni mwajiriwa na nimeona siwezi kusubir kazi iishe ndipo nianze kuandaa mashamba/Mifugo na hapa ndipo watumishi wengi tunaharibikiwa. Anza kazi za ujasiliamali ukiwa bado uko kazini ili uiboost miradi ukiwa na nguvu isimimame then ikitokea umepoteza kazi basi...
Mkuu mimi sijafikia katika level ya Ranchi bali mfugaji mdogo kabisa. Huwa napeleka Dakitari kutoka Shinyanga anaenda shamba kuangalia, kutibu wanyama na kufundisha vijana wangu akiwemo na mwanangu na sipati shida kabisaa.
Hao Mbuzi weupe ndio Savanna Mkuu. Halafu Boer wenyewe huwa weupe lakini huku kichwani na shingoni ni lazima wawe wekundu ndio tofauti ya hawa mbuzi. Lakini sifa zingine wanafanana na ndio mbegu bora kwa ajili ya ufugaji biashara maana wanakua haraka zaidi.
Mkuu mimi niko nafugia Mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kibondo karibu kabisa na Mto Malagarasi.
Tuna share same interest ni PM tuongee mengi na kwa sababu mimi makazi yangu ni Kahama mkoani Shinyanga ni rahisi tukajiunga tukachangia usafiri tukaenda kuwaleta hawa mbuzi kutoka huko Arusha.
Asante sana Ndugu yangu kwa kunishauri vizuri. Nitatafuta mawasiliano yao ila sema Taasisi zetu huku Tanzania zimelala.
Yaani hata hawajitangazi sijui wanataka nini.
Hawa ndugu zetu waganda wametupiga bao. Mfuatilie huyu jamaa Hamiisi Semanda kwenye youtube utapata kitu.
Wana Jamvi salama jamani.
Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo.
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji.
Nina hitaji la kuboresha mbegu ya mbuzi wangu ili kupata mbegu bora ya mbuzi wa nyama wanaokua kwa haraka zaidi.
Nina shida...
Wana Jamvi salama jamani.
Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo.
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji.
Nina hitaji la kuboresha mbegu ya mbuzi wangu ili kupata mbegu bora ya mbuzi wa nyama wanaokua kwa haraka zaidi.
Nina shida...
Wajinga tu ndio wataendelea kupoteza muda wao kwa jambo hili ambalo kimsingi limeshaisha. Wawatangaze kuku au kenge sisi hatujali maana nao hawatakuwa na msaada wowote kwa mtu anayejitambua.
Habari za leo Doctor,
Asante saana kwa Ushauri wa kitaalamu.
Habari za muda huu kiongozi.
Asante saana kwa ushauri na mwongozo wa kitaalamu.
Ninayo namba yako inayoishia 65 nitakupigia tuongee zaidi.
Asante
Habari za leo wana jamvi,
Doctor mimi ni mfanyakazi ktk sector binafsi lakini pia mjasiliamali mfugaji ng'ombe wa asili jamii ya ankole na NYABUGESERA ( wana pembe za kati ila miili mikubwa sawa au zaidi ya Ankolle). Nina maswali mawili hapa na ningeomba ushauri na maelekezo ya nini cha kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.