Umekalili vibaya mnoo
Ngoja nikuulize maswali matatu ya ubatizo afu nyie wote mnaofanana mnijibu.
Kwanza ni kweli ubatizo ni neno la kigreek lenye maana ya kuzamishwa- kwa kiswahili kisicho fasaha sana.
Hata neno pentecoste mnalodhania ni siku ya Roho Mtakatifu maana ake ni siku ya 50.
Eti...
Pole
Kwa lugha nyepesi
Kwenye simu zetu na simcard zetu sahivi nyingi zina 2G, 3G, 4G na chache sana zina 5G
Sasa huduma ya Voice (Hii ya kupiga na kupokea simu kwa sauti inatumia 2G kwa site nyingi na 3G pia ila nyingi sauti/ Voice ipo kwemye 2G)
Ilivokuja 3G ilivokuja ilikuja ina Voice...
MKataba ni mbovu inavoonekana.
Hilo genge huenda ndilo lilihusika kumshawish mama kuwa mkataba uko poa huku wakijua hakika mkataba ni mbovu, na hilo genge si linajua mama ni mvivu kusoma sio kama JPM mama alitangaza wazi yeye hakai na files yaan yeye ana delegate tu hata ha review huu ni uzembe...
Umechemka vibaya mnoo
Martin Luther king😀😀😀
Padre Luther aliyeanzisha Lutheran Movement alikua ni Mjeruman tena ni miaka ya around 1500 baada ya Ukristo
Huyo Luther King Jr dogo tu ameish miaka ya 1970's juzi tu apo
Ameikuta Lutheran ina miaka mingi sana
I think umeandika kwa hasira. Pengine umekutana na mtu wa namna hiyo ambao mambo yao yakienda vibaya tu wanasingizia uchawi au kumrudia Mungu. Hao watu wapo ila wapo pia wenye logic thinking na ni watu wa Imani sana. Faith and Reason.
Kwa title yako nilidhan umefanya tafiti katika pande zote...
The same na kuwa muongeaj sana wa mambo ya uchumi ka zzk c kwamba ndo mtabe wa uchumi.
Tofauti iliyopo ni platform tu....
Kuna magwiji yanajua sana ila hawana platform ya kuongea kama ilivo kwa wanasiasa
Cjausoma ila naelewa kdogo.
Umeeleza vzur kwamba mikopo inayofanya vbaya niya frm mashirika ya biashara ambayo mtoa uzi hajasema nashukuru umewaza huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.