Hakuna chombo kizuri kama psrs,kimesaidia sana vijana kupata ajira,vijana wanapata ajira bila rushwa kabisa.Nenda kwenye halmashauri zetu,kuna baadhi ya ajira zimerudishwa huko kama hula hela huezi kupata ajira.mfano kuna nafasi zilitangazwa halmashauri ya magu za utendaji ili upate unaambia toa...
Mimi ni mwathirika wa kufanya mapenzi wa usiku,i la nikimaliza tu kupiga bao moja, usingizi huwa unapotea kabisa.
Hivyo naombeni msaada nifanyeje ili niwe napata usingizi baada ya kupiga bao.
Nataka kununua gari kwa mtu,ni njia gani nzuri kisheria itakayonisaidia ili hiyo gari niweze kulimiliki.Nimeenda kuliona gari ni zuri,muuzaji kanipa namba ya akaunti nikalipie benki,wasiwasi wangu mkubwa ni kwamba je nikienda kulipa halafu asipe blue kadi nitafanyaje.Naombeni mnisaidie utaratibu...
Ungekuwa wazi nafikiri hilo ombi lako lingesikilizwa,inavyooneka wewe siyo muwazi unaposema chuo kimoja dar unakuwa na maana gani?taja chuo na jina lako kamili ili upate kusaidiwa.
Jamani makamanda tusiwe wepesi wa kulaumu,kwani Nusrat yeye kazaliwa kuwa mbunge,hebu tuendelee na kujenga chama,ili hivyo viti 3 vilivyobaki kwa mujibu wa tume ya uchaguzi,tukifanikiwa nusrat lazima kiti kimojawapo anaweza kupata,hivyo tuongeze bidii ili tuweze kunyakuwa majimbo yote 8 yaliyobaki.
Nipo hapa kyela usiku huu ni shida,watu wapo wengi sana kwenye hivi viwanja vya Tacoshiri karibia kabisa na ofisi halmashauri.kwakweli ushindi kwa mwanyamaki na mzee edo ni asubuhi na mapema
Pole sana Sam Mahela,piga kazi nchi iweze kubadilika,usioge vitisho kwani hao waliokutisha ndo wanatuharibia nchi hii,kwa kuendeleza uozo katika sekta mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.