Wote naona mnaongelea wanamuziki wa country weupe tu..... Originally country music ilibuniwa na watu weusi watumwa kama music wa kuwafuta majonzi baada ya kazi za kitumwa.... Gwiji mmoja mweusi wa country ni Darius Rucker.... Pata burudani kidogo hapa.... https://youtu.be/y5zCaRaJ-kE
Kweli kabisa, bila kujenga misingi kuanzia ngazi za chini kabisa CDM wasitegemee kushinda..... Hela zote wanazopata zinaishia makao makuu na kupanda chopa.... Wataendelea kuvuna wanachopanda :embarassed2: !!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.