Tatizo sio benk zetu bali ni bot, kwasa wanajidai wana skili sana, lakini washindwa kuona idadi ya mabenki inaongezeka lakini watumiaji wanapungua!!!! Kila zali wapo!!!@ lakini wanapeta tu. Kama bot habadiliki wanaoweka akiba na wanaotaka kukopo wataendelea kulalama
Mkakati wa nini wao ni civil servants wanatakiwa kufika kazini saa moja na nusu kama hafika muda huo futa kazi baba wataifa akitumia watu wa darasa la pili kuendesha nchi. Watanzania lazima tuheshimu kazi rushwa ndio imetufikisha hapa tulipo
Wafanyakazi wa makampuni binafsi, mabenki , bot wote wanajaa st. Joseph na azania front kuanzia saa kumi na mbili wengine wanasoma magazeti kwenye vibanda. Ili mabadiliko yatokee inabidi ngazi za juu washughulike na mambo hata tunayodhani ni madogo.
Lema has expired hivi ana sgenda gani. Wana arusha election is over hamtaki uwaziri au mnataka maandamano.
Ngoma imeondoka mtaisoma namba. If I was a resident of arusha I will not vote for lema as he has nothing to deliver. In pollitics no friendship is permanent tosa lema
Boma ng'ombe ni stronghold ya cdm the message is wapiga kura wameanza kuelews kuwa lowasa sio raisi tena hadithi ya kuibiwa ni uongo and election is over jmp ni president for the next ten yrs
Mie nadhani hii ni zaidi ya viroba wa arusha wanataka nini raisi jpm, yeye ndio mwenye pesa mnamchagua lema iwe nini? Issue ya ukombozi is over na biashara imeanza hadi 2025. Watu wajifunze uhalisia na sio ushabiki? The electio n is over arusha wake up!
Sasa mbona juzi kule bungeni wana ukawa hawakuwakilisha suala kuibiwa kura za lowasa? Au hakuibiwa bali ni usanii wake tu? Kwa suala la seif lisu alikua msemaji wa ukawa lakini zijaona anatolea macho wizi wa kura za lowssa? Mimi nadhami lowasa anajua hakuibiwa kura lakini atawaambia nini...
Tatizo la wana viroba upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo. Seif anaongea na shein kila siku akiulizwa anasema wakati ukifika atasema . Nawawashangaa wana kiroba kulichukulia suala la znz kwa pupa wakiongozwa na mbatia!
Hizo fedha hazikuwa za serikali hiyo moja mbili mr president alitoa maagizo kabla ya party just use you small brains wakati wansnunua vitu vya party na vitanda vikaninuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.