Ok, ni vizuri watu juishe wana JF ratiba kamili, ili watu waweze kufika hilo eneo , Hakika Mwanaharakati kama Regia anagusa wengi na ndio maana watu tupo informed kwa kila jambo , Mungu anajua the root cause ya ajali yake ila kama ni mwanadamu anahusika ajue kuwa auaye kwa upanga naye atakufa...
Ee Mungu eponye Tanzania, mi nashangaa ivi hawa watu wanatafuta nini kwenye nchi yetu pamoja na mapesa yote waliyo nayo, 2015 ni wakati Mungu kuiponya Tanzania hakika atatusaidia
Mzee Gomezi
Wadau matokeo yameshaanza kutangazwa huko Igunga kwa baadhi ya Kata , Chadema kwa mjini tunaongoza ila kwa difference ndogo wasi wasi wangu ni kule Vijijini CCM B QUESTN,
Mungu Ibariki Tanzania na Ibariki Chadema , Magamba wapotelee mbali
i real wonder, na nitaendelea kuwashangaa CCM, Sijui watawaeleza nini wananchi na sherehe zao walizofanya wakizunguka mikoa kuanzia dodoma , moro, pwani hadi dar kwa mbwembwe kusherekea kuvua magamba alafu cha ajabu sherehe wamefanya kabla magamba hayajatoka , ngoja yaanze kuwadhuru hayo magamba...
sina uhakika sana na hiyo taarifa mana ni mara nyingi ITV Wamekua wakiahidi kuwa na midahalo ya kipindi maalumu cha Dr. Slaa ila baadae haikuwepo ngoja tusubiri.
BIG UP
MZEE GOMEZI
Kwa Mawazo yangu na utashi wangu ni kwamba nina ishauri CHADEMA IANZISHE mfuko maalumu wa kukichangia chama hicho ili kuweka mikakati mbalimbali kwa ajili ya kuukwaa uraisi na kuwa chama tawala.
Wananchi tupo tayari, tumechoka kutawaliwa na mafisadi , tupo tayari kuichangia CHADEMA
Na tuna nia...
ivi mjadala wa udsm na UDSM unatuhusu nini hapa nani asiyejua kuwa UDSM iko juu ya vyuo vyote kwanza kihistoria na kuwa na vitendea kazi au unataka kuifananisha UDSM na hiyo UDOM yako na vyuo vingine vinavyozuka kama uyoga, ambavyo hata library havina na hata kama inavyo hakuna vitabu professor...
ila kafulila na yule bwana mdogo nawashangaa sana wanaeleza vitu ambavyo sikuwategemea kabisa na huyo bwana mdogo ole wake angekua
UDSM MGONGO FIMBO ANGEKUKAMATA WEWE BAHATI YAKO NATUNGEKUTOA MAGAZETINI UNGEJUA SIASA ZA BONGO
ulifikiri huku kuna vyeo vya kupendeleana na uswahiba huku ni maslahi ya taifa tu, huku hakuna jino kwa jino wala uswahiba huku ni mapambano wala hatuna mchezo wala kujipendekeza , thread zetu zilivyo ndivyo tulivyo.
Mzee Gomezi
sikuona sababu ya Zito kwenda kuongea kwenye vyombo vya habari, ulishawaona lini sisiem wakitofautiana na kwenda kukimbilia vyombo vya habari, tunajua kuwa kuna watu ndani ya chama wanatumiwa vibaya nasema mtapita , mimi hapa simuelewi zito hata kidogo kwani angekaa kimya kungemuumiza nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.