na kweli anachonganisha nakubali,kuleta vitanda na madawa hospitali,barabara mwenge,wizi wa TRA na Bandarini,posho za wabunge na Majipu mengine alitakiwa kuyaacha tu kama huyo eeeeh?
na kweli anachonganisha nakubali,kuleta vitanda na madawa hospitali,barabara mwenge,wizi wa TRA na Bandarini,posho za wabunge na Majipu mengine alitakiwa kuyaacha tu kama huyo eeeeh?
Siku ya kuzaliwa,na siku ya kuzaliwa yesu tofauti iko wapi?ukweli ni kwamba ni tarehe ya kubuni ndiyo sababu madhehebu mengine ya kikristu hayaadhimishi siku hiyo sababu haiko kwenye maandishi.
Siku ya kusaliwa,na siku ya kuzaliwa yesu tofauti iko wapi?ukweli ni kwambwa ni tarehe ya kubuni ndiyo sababu madhehebu mengine ya kikristu hayaadhimishi siku hiyo sababu haiko kwenye maandishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.