Na maswali mengi najiuliza majibu bado sijapata kwanini imefikia hali hii.
kwanini vyombo vya usalama kukosa utetezi katika taifa ili, Wananchi uona wanakosea katika kufanya kazi zao upelekea kukwamisha ufanisi wao wa kazi na swala zima la kiusalama katika taifa ili?
Kwanini wanaonekana ni...
ni ngumu kuadithia picha ambayo imeangaliwa na wengi kwani hata hivyo mweshimiwa katumia busara kubwa kunyamazisha dereva wake na vilevile watu wamechoka na uonevu unaojitokeza kila siku subiri yakukute utaelewa ila ukicheki unaona kabisa busara imetumika sana ....
Ila akuna mtu juu ya sheria...
sasa gari lilikuwa limesimama ila si kupaki kwani dereva alikuwa ndani ya gari pembezoni mwa barabara hivyo walipaswa kumwamulu kuondoka kama kulikuwa kuna viashiria vyovyote vya kiusalama na kama kulikuwa na kibao ambacho kina mwamulu kutokusimama kuna taratibu pia ..
Mtu mwenye akili na burasa...
hata ukiwa sehemu uluhusiwi kusimama mara nying unafatwa na kuambiwa uluhusiw kusimama hapa unaitajika kuondoka ila si umesimama hapa twende kule wanataka kukupeleka wapi.... hata ukiwa benk unambiwa hapa maluhusiwi zaid ya dk kaza unaitajika kusepa kwa sababu zakiusalama ila kwa ile hali...
eti dereva yupo ndani wanasema amepaki umeona wapi na kwa aheria zipi wamezidi hawa mara nying utengeneza mianya ya mtu kutoa kitu kidogo lakini awana lolote tumewachoka walala hoi wana nyanyasika sana......
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Je unajua maana halisi na tofauti ya kupaki na kusimama barabarani ....!?
ukinipa tofauti za vitu hivyo utajua nani yupo sahihi madaraka yakulevya upelekea watu kufanya hvyo mamlaka za watu zipo mikononi mwao kwani akuna hata mtu anayekemea kukaa kimya ni busara ila ukizidi ni uchwala...
ila kikubwa si vyeti mbona me ninavyo mpaka vya ubatizo ndugu kabla awajitokeza kupigana na kuprove kauli zao kwann asifanye hvyo wewe kutuaminisha ukimya una maana sana ila majibu yanakuwa kichwani mwa mtu mwenye anachokifikilia nini utakacho zungumzia tunatamani kujua ukweli wewe ila inafika...
vita hii kimitazamo ni kubwa kwa savabu unagusa moja kwa moja vyombo vya kiusalama kwa namna moja au nyinge kutokana nq hali halisi hivyo basi wakitaji kupambana mabadiliko lazima yafanyike ila viapo tu aitoshi pesa inakiwa inanguvu sana kuliko kingne Je ? wameboreshewa mazingira mazuri...
vyote vinawezekana tu ila watu wanapiga pesa nakusepa katika miradi na harakati mbalimbali kwani ukuonaga au kusikia kuhusu mapambano dhidi ya malaria semina kibao shoo kibao wapambanaji kibao mpaka vyandarua kibao ila dah tukiamua tunaweza ...!?[emoji6]
Vita hii ni ndogo kwa mtazamo wa kiroho ila nikubwa kwa macho ya kawaida na mitazamo ambayo si chanya bali ni hasi katika jamii zetu kama mapambano yangekuwa ya kwetu sote tungeweza kwani katika hali ya umoja kila kitu kinawezekana tukiamua tunaweza .Umeshajiuliza wangapi wanaandika historia...
kuzungumzia swala LA escrow si la kukurupuka umeona msimu uliopita walikurupuka saivi ndo kama hivyo tambua aliye tatua kishikaji si uyu wa sasa tusubiri tuone ndo maana unambiwa serikali kesi nyingi za msingi zinashindwa na kuingizia TAIFA hasara tu kama mfatiliaji mzuri utakuwa unanielewa ndugu .
unajua sio kila kitu kinaweza kufanyika kwa Mara moja kikubwa muda na iman tambua mambo mengi yanashindwa kufanyika kutokana na siasa kuweka mbele alafu uzalendo nyuma najua kuna mengi Ila kwa hata zuri moja ushindwe kumpongeza INA maana unashindwa kumpongeza mtoto akiwa amefaulu kwa sababu...
vita ya panzi furaha kwa kunguru wakati nyie mkipigana na kugombana wenzenu wanazidi kujijenga zaidi ntasifu panapostahili na ntakosoa panapoitajika kukosolewa uwezi mfanya MTU amini unachoamini wewe Mnasihi uchama na usiasa usilete katika swala LA maendeleo polen sana mtakao kwazika ni ayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.