vip russia ,kwa hiyo russia kukwama pale ukraine ni kwamba ni dhaifu?kwamba hata uturuki ana uwezo wa kumchakaza russia?uwe unachambua mambo kwa mapana hivyo vikundi vya kigaid vinapewa suppot na maadui wa israel ndio maana vita inakua ngumu,hata ukienda swala la russia pale ukraine hayupo peke...
muwe mnapumnzika wakuu wengine mnakeshea humu utafikiri vita ni ya kuisha kesho ,hii vita hadi 2024 ,pishen dam mpya tumewachoka sasa story ni zilezile ,hakuna jipya
Biden;If russia will stop fighting there is no war,and if ukraine will stop fighting there will be no ukraine anymore.Wewe ndiye una akili siyo nenda kampe ushauri huo uliojaa mahaba na uchungu wa kupigwa
Ukweli mchungu
Vladimir Putin isn’t just losing in Ukraine — he’s set Russia’s economy back 40 years
Vitaliy Katsenelson
Fri, November 18, 2022, 3:28 PM·6 min read
In this article:
Vladimir Putin
President of Russia
Vladimir Putin isn’t just losing in Ukraine — he’s set Russia’s economy...
Kumbeeeee
Kremlin admits it attacks Ukraine's infrastructure to force Zelenskyy to negotiate
Ukrainska Pravda
Thu, November 17, 2022, 3:55 PM·1 min read
In this article:
Volodymyr Zelensky
Sixth and current President of Ukraine
Dmitry Peskov
Russian politician and diplomat (born 1967)
The...
Kumbe componets za makombora ya iskander zinatoka US
The Iskander missiles wouldn’t be accurate if the Navis Design Bureau didn’t use the intellectual and technological resources of U.S. companies. Deliveries from Analog Devices and Texas Instruments were carried out through intermediary...
7:50 pm
Pentagon chief: NASAMS intercept all Russian missiles in Ukraine.
The U.S. Defense Secretary Lloyd Austin said that the NASAMS air defense systems provided to Ukraine have a "100% success rate," Sky News reported.
Top US general: Russia has lost strategically, operationally and tactically
From CNN's Michael Conte
Chairman of the Joint Chiefs of Staff General Mark Milley speaks at a press conference at the Pentagon in Washington, DC, on November 16. (Mandel Ngan/AFP/Getty Image)
Joint Chiefs of Staff...
Iran mbona alishapiga kombora kwenye military base ya US mbona haikutokea vita.
Wewe unavyofikir vita vinaamuliwa kirahisirahisi .Vita ni hatua ngumu sana usifikiri ni kama kwenda chooni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.