Tofauti na nyinyi wenzangu, mimi nimejawa na huruma maana namwona huyu kama ni mtuhumiwa asiyejiweza anasaidiwa na askari akiwa ameshika faili la kesi kutoka chumba cha mahakama. Bila shaka hawezi kutembea mwenyewe pengine huenda kwa sababu ya kipigo. Nitajisikia vibaya zaidi kama mahakama...
Mimi sijayapenda mazingira, sehemu kubwa ya miti sio ya asili. ukiangalia vizuri ni miti aina ya "eucalyptus" ambayo imepandwa baada ya miti ya asili kutoweka!
Pamoja na maelezo na picha za kuvutia, inakuwaje basi Wahabeshi wengi wanakamatwa hapa Bongo kama wahamiaji haramu!? Na wengine wanafia kwenye makontena! Hawataki neema hizi?
May be the white men were deceived by the look of the Aborigines the indigenous Australians. For a moment I was also deceived by the picture above. I am told these men are considered to be the most handsome and good looking men! The bottom line is they are genetically human beings, and they can...
Moja ya the so called maajabu yake ni kuwa pamoja na umaarufu wake, picha him haina nyusi. Lakini pia ilisadikiwa ilichorwa na Mtaliano maarufu aliyekuwa anaitwa Leonardo da Vinci. Mwanamke aliyechorwa inasadikika kuwa ni Lisa Gheraldini mke wa Francesco del Giocondo ambae alikuwa mfanyi...
Yote yaliyozungumzwa hapa ni ya kweli kabisa. Ila najiuliza ni utaalam gani umetumika kutambua kwenye hii picha kwamba hawa wote waliobeba watoto ni kina mama? Je, haiwezekani baadhi yao au hata wote wakawa wanaume? Au kwa sababu nanihii zao hazionekani?
Do we really and economically needs airports in every towns in Tanzania? Take for example Songea has a tarmac runway of an airport with relatively nice buildings including VIP longe ya kishikaji and control tower, but hardly 3 small aircrafts lands in a week. BP used to have a small depot, but...
Wa kwanza kutoka kushoto ni Abdallah Chuma alikuwa ni Centre Half (No 5) wa timu ya taifa kwa miaka 10, alikuwa akitokea timu ya Bandari Mtwara, anafuatia Zimbwe kutoka moja ya timu za Tanga sina uhakika kati ya Costal Union na African Sports, anafuatia Kitwana Manara Centre Forward wa timu ya...
Hakuna uchawi Ustadh, hiyo ni trick tu, huyo wa chini lazima avae nguo yenye mikono mirefu inayoficha nguzo imara ya chuma iliyounganishwa na sehemu 2 za kukaa, sehemu moja ameikalia yeye na kutengeneza "balance" ya sehemu ya pili ameikalia huyo anaening'ining'ia hewani.
Kwa sisi Waswahili ni kweli huyo jamaa anashangaa ubunifu, lakini kwa wenzetu wazungu huyo jamaa amefura kwa hasira maana jirani yake ni kama amemwambia "kiss my ass" maneno ambayo sio mazuri
An man drinks at the pub until they close.
He stands up to leave and falls flat on his face. He tries to stand one more time and falls again. He figures hell crawl outside and get some fresh air and maybe that will sober him up.
Outside, he tries to stand up and falls flat again. He gives up...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.