Wakuu habari ya mihangaiko ya maisha. Sina uhakika kama hii taarifa imeshawekwa hapa kwenye forum. Kwa taarifa tu nikwamba UDOM wametangaza kazi za administrative. Tafadhali fuatilia hii kwenye The University Of Dodoma. Pia unaweza kudownload attachment niliyoambatanisha. Ni kazi nyingi kidogo...
Mimi nilianzia kazi kijiji mtiriangu huko kondoa , baada ya miaka mitatu nikahamia Itiso huko huko Kondoa na kukaa miaka mingine minne. Sasa hivi nimepenyeza niko mitaa ya posta (DSM). Kwa hiyo unahitaji uvumilivu. cha muhimu ni kukaa kimkakati zaidi usijisahau utafikia sehemu unayohitaji. Uwe...
Wakuu nimepata admission kwa ajili ya PhD kwa chuo cha hapa ndani (Tanzania), sasa ngoma imebaki jinsi ya kupata scholarship. naomba mwenye information yeyote ya organisation inayotoa ufadhili kwa ngazi ya PhD kwa wanafunzi wanaotaka kusomea hapa Tanzania.
Asanteni kwa ushirikiano wenu
Serikali ya magamba imekuwa kila siku inakuja na maelezo ya kuchakachua kuhusu tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwa serikali. sasa sijui watatuambia nini kuhusu huu ufisadi wa bil 1,050,000,000/=. sijui Jairo atatoa mahesabu gani kuhalalisha hiyo hesabu kubwa ya kifisadi namna hiyo kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.