Ndugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha...
Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti
NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya.
Printing ya hii kitu
Kama tittle inavyoeleza Tanzania kumekuwa na madalali wengi mjini wengi wao wapo kimaslahi yao binafsi tena yenye lengo la kumpiga mteja narudia tena kumpiga mteja.
1. Madalali wengi wana tamaaa(greed)
Madalali wengi wana tamaaa. Mtu Ana ndoto ya kuwa na hela kubwa kwenye biashara ya mtu...
Nina umia kuona kijana mwenzangu anashangilia nchi yetu kurudi nyuma kwa zaidi ya miaka 29, bunge kuendelea kuwa gizani, Kodi za wananchi kupangiwa matumizi na mtu mmoja badala ya bunge.
Mbunge anachaguliwa kwenda kupitisha bajeti "Kwenda kusema ndioo" hakuna mtu atakaye sema hapana.
Ngojeni...
Mtu wa kubadilishana kituo cha kazi anahitajika, mimi nipo Dodoma Mpwapwa DC.
Kituo ni kizuri, mazingira mazuri, maji yapo, usafiri upo 24hrs. Wa kubadilishana nae awe mikoa ifuatayo;
1. Iringa
2. Mbeya
3. Morogoro
Ndugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha...
Kwa watumiaji wakubwa wa internet au wale wenye hotel, Mabasi makubwa au maeneo yenye watu wengi
300MBS
Dukani 200k mi nakuuzia 120k nakupa na moderm ya voda (sipunguzi bei)
Popote unatumiwa , ukijirizisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kweli kupata maternity leave ni lazima mtu awe kamaliza miaka mitatu kazini?
Sheria zinasemaje?
Maaana wife ameenda kuomba ruhusa kanyimwa na ana two years kwenye utumishi wa umma, kambiwa hastaili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rekhma kwa kutuweka hai mpka muda huu
Lakini, pili nikusalimie Mheshimiwa Waziri 'shikamoo
,pole na majukumu makubwa yanayo kukabili katika nafasi yako
Mheshimiwa Waziri : leo nimeona niandike ujumbe huu huenda Mungu akajaalia ukaona au...
Hello guys, kuna course moja nimeipenda ila cha ajabu huko nchi za wenzetu hawana internship ila hapa kwetu Tanzania wanafanya intern. Vipi kama ukisoma unaweza fanya intern bongo au watafanyeje wakati equity!
Karibuni kwa mawazo.
Wengi wao asili yao sio wa tz wamekuja kutuharibia tu. Nchi hii lazima tuwe makini MBWA wanaongoza kwa kuwinda ni wahapa hapa mimbwa ya kizungu kazi kukaa ndani tu. Inakera saana hii mi MBWA
Ndugu zangu habari za muda huu, Nilikua natumia simu tajwa hapo juu ila haikuwa ya kwangu nilizima mwenye nayo kaitaka mempa sasa nataka ninunue yangu naomba mnielekeze wapi ntaipata niko Dar
Pasted
Na Mathew Kwembe, Tabora
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mhe. Seleman Jafo imezitaka Taasisi zinazosimamia mifumo ya elimu kutoweka vikwazo na masharti magumu kwa vijana wenye ufaulu mdogo kuendelea na kozi mbali mbali katika ngazi ya chuo...
Kuna Binti...... [emoji23][emoji23] Tittle kali. Ila JF napapenda sana.. Mtu unaoa demu ana watoto watatu eti kisa umri wake mdogo aliye muambia azae haraka haraka nani [emoji23]
Any way hii story ipo hapa kitaani kwetu Kuna jamaa kaoa demu mdogo mdogo ila anawatoto watatu sasa leo tupo kijiwen...
Ndugu zangu kuna mdogo wangu anatesekq sana yaaan alimaliza 2017 cheti kapata mwaka huu Lakin akifuatilia transcript wizarani eti a naambiwa chuo Chao hakijatuma matokeo seriously???? Chuo wamesema matokeo wametuma.... Yaaan wanarushiana mpira kama Yanga na timu ya wakurya biashara [emoji6]. Duu...
Ndugu zangu wanaJF mimi sio mjuzi sana katika nyanja za elimu ila kuna mambo nime yasikia yamekua yakinichnganya saana. maswali makubwa niliyonayo ni pamoja na
1. NACTE kufuta baadhi ya kozi bila kushirikisha wadau mbalimbali na bila wazir mwenye dhamana ni ubabe au ndo utaratibu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.