Mkwepa kodi,CCM unawajua au unawasikia,wabunge wao ni wapiga dili na wachumia tumbo tu.....hawajali wananchi kabisa.....ubunge kwao sio utumishi,ni biashara
Maji ni tatizo sugu kila mahali.... serikali haijaipa kipaumbele stahiki sekta ya Maji.. wananchi wanateseka na kutumia muda mwingi wa uzalishaji kutanga na njia wakitafuta maji! Hii nayo ni moja ya ishara za anguko la chama tawala n serikali yake
Karibu Tabora mwenyekiti shupavu,jasiri na mchapakazi..... Tabora tunakuahidi mageuzi makubwa 2015. CCM imewahadaa wana Tabora kwa Muda mrefu,Hawataki tena kuisikia
"when you are selected to lead your fellow humans it does not mean that you know everything better than they do...Our aim is to hand over responsibility to people to make their own decisions"
GT!
Ona hii toka ktk inbox ya blackbery yangu.natafuta source kwa aliyenitumia
This is Dowans HQ in Costa Rica - (Pictures)
Hi everyone; I'm back, wounded and limping but still kicking LOL. Numerous trips I have made since I reported to you about the then pending ITV saga. With some of my...
nimetoka Urambo-Tabora this morning,majority wanalalamika wanataka kadi za uanachama lakini hazipatikani.nimefuatilia ofisi ya wilaya wanasema makao makuu hawajatuma toka kabla ya uchaguzi
Lakini kwa taarifa:kuna madiwani wa3 wa chadema ikiwa ni pamoja na kata ya Urambo mjini
nina taarifa za karibu,jumla ya kura za ubunge na uraisi kwa bukoba mjini zina tofauti ya elfu ishirini.
sasa sijui hizo elfu ishirini kwenye ubunge zimeharibika au Vipi?
na sehemu nyingi pia jamaa data wanazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.