Mungu alipokupa kazi ya kuchunga kondoo wake hakukosea ,umeleta kiherehere cha kuhangaika na siasa cha moto utakiona , TUBU urudi nyuma na uanze upya Mungu anataka ukachunge kondoo wake , Wake up ......! Look you are learning in a hard way
Kuna namna moja tu watanzania tunatakiwa kufanya, tuungane kama Baba yetu alivyotufundisha ,kuwa na umoja na kufocus na malengo tuliyojiwekea na Mungu ameshaona jitihada zetu kwamba tunahitaji mabadiliko ya kweli na yeye atafanya
watashinda kwa staili hii siku zote lakini hawatashinda vita ambayo Baba wa taifa aliitangaza,Isipokuwa Mwnamume mmoja tu Dk Slaa asiye na woga wa kukumbatia marafiki waovu na wezi , anaye weza kutoa muongozo (vision) na anayeweza kumonitor na kuevaluate kazi iliyofanyika sio kuchez mdako na...
kutoyatambua matokeo sio kupeleka watu bagdad ni mtazamo wa mtu na hali halisi , we kama ni mwanamume ukaambiwa mwanamke utakubali? acheni kuwa negative kisa ni Mwanamabadiliko anataka kurekebisha hii nchi, Naamini Dk Slaa hayupo kwenye hii nchi kwa ajili ya vurugu ni mtu anaye ona na aneye...
hatutafuti heshima hapa tunataka mabadiliko na yeye ndio muasisi wa yote SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU, anacheleweshwa tu kuingia ikulu lakini 2015 yupo ndani ya nyumba nyeupe nyie vipi hamuoni huu ni muda wa kujiandaa ,haitaji kuingia mjengoni anatakiwa kujiandaa kuingia pale Baba yetu...
hakuna Mungu kma wewe bwana ahhhh ahhhhhhh ,Hakuna Mungu kama wewe Alah aahhhha hhhhhhhh, unaweza eeeeeh eeeeeh eeeeh eeeeeeeeeeeeh HAKUNA MUNGU KAMA WEWE BWANA AAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH!
Hureeeeeeeeeeeeeeeeee Mdeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mdeeeeeeeeeeeeeeeeeee oops ! too much noise ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.