Anatafutwa operator wa excavator mwana mke mwenye uzoefu na sharp kwenye kazi
Anatafutwa pia project manager mwana mke mwenye uzoefu wa kufanya miradi ya mining
Eneo la kazi; Kilwa
WhatsApp 0766925042
Nafungua Pharmacy, afrika sana. Natafuta pharmaceutical dispensers wawili walio sajiliwa.
Akipatikana anaye ishi maeneo ya Sinza, mwenge, kijitonyama ama ubungo itapendeza zaidi.
Kama ujuzi huo, ama una ndugu jamaa na rafiki mwenye hiyo fani nicheki kwa 0766925042
Sent using Jamii Forums...
Natafuta mfamasia kwaajiri ya ku supervise pharmacy inayo tegemea kufunguliwa Afrika sana , Dar es salaam.
Mfamasia yeyote ambaye yupo interested please contact me through my cell; 0766925042
Sent using Jamii Forums mobile app
Natarajia kufungua pharmacy DSM maeneo ya Afrika sana. Kama matakwa ya kisheria yanavyo taka niwe na msimamizi ambaye ni mfamasia , naleta kwenu tangazo hili la kumtafuta mfamasia ambaye ninaweza kutumia cheti chake
Muhimu awe na permanent registration na council
Retainer fees offer 1m per...
Kuna shamba kama eka 4 Madale Dar es salaam, nafanya kilimo cha mboga mboga na ninatarajia kuanza ufugaji wa kuku wa kisasa.
Kuna Banda la kuku, Nyumba za kuishi wafanyakazi, Kisima kirefu na umeme. Kama robo eka ina drip lines, na kuna wafanyakazi kama watano
Natafuta Mtaalam wa kuwasimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.