Jamani,mbona kikwete miaka yote kumi amefanya hivo,aliwateua akina Omar Nundu,prof Makame Mbalawa,Zakhia meghji,Saada mkuya,dr Asharose migiro,dr Mponda na wengine wengi.je,wote hao uliona wakiapa bungeni?si waliapishwa kuwa mawaziri hawajaapa bungeni,mbona hamkuhoji?
Kuna watu hapa kazini kwangu walikuwa wanatembeza products za ujerumani ambazo mojawapo ilikuwepo flat screen aina ya VLC ambayo wanasema ukinunua kwa Tsh.750000 inchi32 wanakuunganisha kwa kusearch channel nyingi sana isipokuwa super sport tu ndo hutapata!!!!! Na wakishatafuta hulipii malipo ya...
Swali jepesi sana,anataka uelezee vipindi ambavyo development ilikuwa inapewa majina tofautitofauti eg DEVELOPMENT AS A PROCESS,PROGRESS,......sasa uelezee kivip na kulikuwa na indicators zipi katika vipindi hivyo
Kwshiyo wsnaofanya kazi TRA waanze kuzomewa kila wanapopita ili kuwaathiri kisaikolojia wajijue wao wezi au?Mie nadhani kila ofisi ya TRA wawaajiri wanajeshi na Usalama wa taifa ili kufanya mapato yawe salama zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.