Kiboko yao.Acha amchane tu coz America wanajionaga wao ndio kila kitu.Al Assad kamtolea jamaa nje na ripoti zake.Always they talk negatively abt Syria.Km ilivyo kwa Africa tu,vyombo vya Magharib vinatulenga kwenye negative tu as if hakunaga jema huku.Assad anajiamin!!!!!!
Mikoani watu wako buzzy na majukumu mbalimbali ya kulijenga taifa.Hkn mwenye muda mchafu wa kuwafuata hawa wachumia tumbo.Kwa kifupi wanapuuzwa tu.Wana wanaowasikiliza huko dsm ndio sababu ya wao kuanzia huko kwa kila jambo.We trusted them bt they put us down.Wabunge wamekuwa busy kwenye...
Haya ya maaskofu.Hayakuanza leo hats wkt was kampen za uchaguz mkuu yalikuwapo mambo ya mwelekeo km huo.Nao ama wana interest zao au wanafulfil interest za kundi flan.Bt in reality wangekuwa na busara wangeomba kikao na mkuu na huko wangezungumzia hayo.Kulipuka tuu sio jibu la matatizo.Ikumbukwe...
Very correct bro.Was shocked by eruption of Ebola in west Africa where by western countries judged the whole continent as one country. No idea of more than 6000 miles east to west.Somehow bigger than their continents. Africans let's get up and be good ambassadors of ourselves at least we can...
Thanx Mkuu.Umegusa vitals.Wengi hufikiri kuwa watabaki hapo hapo walipo kiumri.They nvr think abt numbering in age.Vzr km watausoma Uzi na kuutilia maanani basi km ni mtihani umewapatia majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.