Ni kweli kabisa kuwa waliitwa watukufu!Lakini haikuwa sahihi Kuwaita watukufu hata kidogo na ndiyo maana Mkapa akakataa kuitwa mtukufu na nafikili hata Mzee Kikwete naye hakupenda kuitwa mtukufu kwa maana hawakupenda kujikweza!na hii Inatokana na utashi wa mtu binafsi kama ananendeleaje kuitwa...
Hapo amatoa na hukumu kabisa!na kama suala lipo mahakamani unalisemea la Nini sasa unataka kuifundisha kazi tume maana unatoa maelekezo ya Nini tume ikifamye juu ya Tundu Lisu!Paskali ni I bwana!
You real said brother unaijua industry ya Mafuta vizuri within no time tutaanza kulia!!na kama ilivyo sema aerikali haiagizi hata lira moja ya mafuta so haina Uwezo wa kusambaza Mafuta hata kwa siku inchi nzima!tuache comedies jamani
Rais anakuwa amili Jeshi baada ya kuchaguliwa Kuwa rais na Rais anachaguliwa na wanainchi na siyo Vyombo vya dola!au safarii majeshi yetu ndiyo yatakayo piga kula peke yake[emoji15]
Yaani wewe umesahu ulivyo imba na kusifu na ukarudishiwa uwaziri leo hii unakuja hapa na ngonjera za kitoto hizo kama vile watanzania wote ni wajinga!lugola anajua anachokifanya maana imekuwa ni kanuni wanaoimba mapambio na kusifu ndiyo wateule kama ulivyomteule wewe!tuondolee shombo lako hapa
Mungu Lazima amuhukumu Huyu tena Wala hata kutananaye huyo ninmojakwamoja motoni ! Maana Hata sodoma n'a gomola aliwaita adabu kwa moto baada ya kufanya vitendo Kama hivyo !
Wewe Fred mpendazoe ni mnafiki mkubwa na mzandiki sana unachokifanya ni kutafuta huruma kwa watawala huna lolote naona njaa sasa imekupanda kichwani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri upi unao usema wewe maana mimi nafikili kila mwanaume anatest zake so usituaminishe kuwa kila mwanaume humu atawaona wahaya ni wazuri!kwa mfano mimi sipendi wanawake wanene na weusi yaani kwangu nibure kabisa!sasa kama wewe ulikutana na mhaya ukamfurahiyi that is yours!
Wewe kweli hamnazo sijuwi na wewe huu uozo uliouleta hapa unakusaidia nini kwa nini na wewe usikae kimya ukamsaidia mkeo kufumua nywele zake za chrismas!acha ushabiki wakijinga au bado hujakuwa lakini ukikuwa utaacha huu ujinga wako fyusii sana wewe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.