Lazima tukubali si kila mtu ni expert wa JF and kuna approach ya kumwambia mtu.Hakuna haja ya matusi hatujuani viwango vya elimu na pia kuna wengine tunapenda kujifanya wajinga zaidi ili tujifunze zaidi.Kuna watu wengine humu were expert in other area of finance but forex seems to be something...
Umejuaje kama sijasoma mkuu au umejisikia tu kujibu???
Sio lazima ujibu hata ukikaa kimya ni busara pia.Yeye kajitolea kundisha na mimi nimeomba kufundishwa wewe mjuaji tulia sisi tusiojua tujifunze na pia understanding ni tofauti but at the end ultimatum is all matter no matter which method...
ONTORIO THANKS FOR SHARING VERY CONSTRUCTIVE TOPIC.WERE SO IMPRESSED KUJA KUJIFUNZA ZAIDI LAKINI JE TUNAWEZAJE KUFANYA HIVYO NA HUJAWEKA CONTACTS.PIA WATU MIA 300 NI WENGI I CAN'T IMAGINE NI ENEO KIASI GANI UNA HITAJI KUWEZA KU ACCOMODATE WATU WENGI HIVYO LABDA UNGEWEKA FEE KIDOGO ATLEAST YA...
Tuna mambo mengi tunayo kabiliana nayo kama nchi.Barabara ni swala moja wapo.Hatuwezi kuotesha barabara kwa siku moja inahitaji miaka mingi na commitment lakini pia hatuwezi kuelekeza nguvu zote kwenyr barabara kuna matatizo ya Afya,elimu,uchumi ma mambo kadha wa kadha.Kimsingi tunahitaji sana...
Asante mkuu umejieleza vizuri lakini hatuwezi kutulia na kutojiuliza maswali ya msingi.Labda na mimi najaribu kujiuliza
1.Kama ulipewa jina sawa tunaweza kukubali hilo moja La Mwigulu je hili la Nchemba nalo ulilitoa wapi maana haiingii akili ukachukua majina yote mawili au ulimkana mzee wako...
Chemsha maji yawe ya moto sana kama unapika ugali kisha idumbukize.Utaona kila kitu message na picha zitayeyuka akifungua itakuwa haina source atashindwa kudawnload.Pia unaweza kuikaanga simu na mafuta ya Alizet badala ya maji
Chagua option kati ya hzo mbili zote ni effective
Kuna mada zingine hazina mashiko Mwakasege ni mtumishi wa kiroho.Na pia huwezi kutumia mkutano wake kupima hilo na hata ukijua wadada wengi hawajaolewa nini unajifunza.Lakini nakuhakikishia kwa watu wa kiroho kuoa au kuolewa kwao hakuna maana sana kama ule Wokovu waliouendea
Hizi ndo mada hatuzitaki hakuna ushirikiano kati ya karamu na muandishi sasa mada haina kichwa haina chanzo cha kuaminika.Taarifa zinasema umezitoa wapi kama sio Uchochezi
Pole Mukulu mbona maamuzi kama vile ulishayafanya kata mti panda mti maisha yanaendelea.Mungu aliamchagua Sauli na Sauli alipohasi Mungu alimkataa Sauli akmwinua Daudi badala yake.Na Samweli nabii kipindi kile alipokuwa akiendelea kuomba Mungu asimwache Sauli Mungu alimjibu Samweli akisema hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.