Mi ni Mwalimu Wa shule ya Sekondari ktk Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga, naomba mwalimu yeyote aliyeko Manispaa ya Morogoro aliye tayari kufanya kazi huku niliko (Lushoto) tubadilishane vituo hivyo. Walioko tayari wani PM
Hata mwenyewe nilijiuliza sana kwan hawakutaka kutangaza hata matokeo ya vituo vichache vichache ili watu wapate mwelekeo,
hata hivyo itakula kwao mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.