Hata mie nimeshangaa hiyo kauli ya
"hatua za ujenzi"
Mie naona ametumia hiyo kauli ili kuwaandaa mtakapo waona wanarudi kwenye hayo majengo kuyafanyia marekebisho(kama inawezekana) basi msipige makelele kwasababu ni hatua za ujenzi
Inamaana waende kupigania ubunge wa Nyalandu tu? Kwa hiyo chadema wakilipata tu hilo jimbo la nyalandu na kupoteza hayo majimbo mengine na kata zote ndio watajua upepe upo kwao?! Sio kwamba wanatakiwa kupigania kurudisha majimbo yote ya upinzani na kupata kata angalau 3/4?
Nyalandu akishinda ni...
True aisee... kuna mtu kasema hapo yani kweli ccm waruhusu Nyalandu arudi bungeni?! Ni ngumu kuamini... labda useme wamrudishe strategically tu, kwamba wenyewe watashinda majimbo mengine yote (including longido na kinondoni offcourse) na kata nyingine zote zilizobaki alafu wamwache Nyalandu...
Ni kweli... lakini kama kuna mtu 45yrs old anesema niko hapa barabara ya kilwa road basi hata kipindi hicho atakua alikuwa anasema niko hapa crdb bank... labda mlaleo aliwasikia wakisema hivyo, labda bado anawasikia maana anaonyesha bado anaishi kwenye hiyo era ya crd bank.
Okeey basi...
Hahahahaha... chemli....mie pia hapo nilikuwa hata sijawi hungainisha... its funny jinsi maneno mengine hata mtu kama unayajua correct pronounciation yake unakua hugundui kwasababu yameshakua kama normal vocabulary ya kiswahili
Kwa hiyo hapa ndio umeona umepata njia ya kuhihusisha chadema na hii issue...kwa hiyo juliana sasa anajulika zaidi kama yule mwanadada aliyekuwa chadema na wala sio waziri kwenye serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kutoka chama cha mapinduzi?!
Mk
Kudhani, kudhani, kudhani... we mwenyewe unadhani polisi walifunga safari yote hiyo kwenda kuua mtu? Ndio unadhani hivyo??
Huyo polisi anayeongea hapo kasema amedhaniwa na bado upelelezi unaendelea sasa kumdhania mtu ndio umuue?
Kweli, binafsi si condone tabia ya kujichubua hasa ikizungumziwa kiafya... lakini unafiki wa wanaume ni wa kiwango chake aisee... nyumbani mke na watoto wake wa kike anawabana kama wako jela wakitoka nje wajifunike gubigubi kama wako iceland lakini yeye barabarani macho kayakodoa kodo huku...
Kabisa! Wanafiki sana! Tena mara nyingi unakuta anamuacha mke ndani mama mstaharabu kabisa, yeye anakwenda kuchukua mchepuko/kimada kajichubua, full mawigi, hips za kichina etc...ana anampangia nyumba au kumjengea kabisa...alafu leo wanakuja na kichefuchefu hiki! Smh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.