Yesu alikuwa sawa alipomuokoa yule mwanamke kupigwa mawe ili are. "AMBAYE HAJAWAHI KUTENDA DHAMBI TANGU KUZALIWA NA AWE WA KWANZA KUMPIGA MAWE" Watu ni wepesi wa kuwahukumu wenzao huku wao wakiwa wachafu zaidi.
Wanaume wenyewe hawajitunzi kabla ya ndoa. Na ndiyo chanzo cha kuharibu hizo bikra...
Tanganyika aliingia kwenye ndoa na mwanamke asiyempenda . Hivyo Tanganyika anaingia kwenye gharama zisizo za lazima kulinda muungano usiokuwa na tija kwake yeye (Tanganyika).
Una ujinga mwingi sana. Ibada na za waatu wengine zinakuhusu nini ?!. Kuna jamii zingine zinaabudu Ng'ombe, Majoka, Milima, Jua nk. Sembuse na waKristo kuabudu wanachokijua na kukiamini. Imani yao, ulevi wao na Ibada zaozi zinakuhusu nini kwenye pepo zako na utakatifu wako machoni pa Mungu ...
Unajua nini !!. Achaneni na mafundisho ya kufikirika kuwa Mayahudi na manasara ni maadui zenu. Hayo yalikuwa mawazo ya Muhammad, lakini la kuambiwa changanya na za kwako. Usikaririshwe . Hoji
0
Hamas hawakufikiria consequences za hatua zao za 7/10/2023.
Bahati mbaya nawaona kama jamii inayofanya mambo kishabiki bila kuhoji athari zake. Pia na mafundisho yao ya Imani ni tatizo.
Lumumba mmeamshana asubuhi yote hii kutuvuruga mawazo. Kama kwa miaka 62 kimeshindwa kutatua kero za wananchi, leo aje huyu Bashite akipe heshima ?!. Anyway ni njia zenu za kujipatia mkate. "Kusifu na kuabudu"
By the way hizo zinazoitwa kashfa zilizomtoa Chongolo mbona hamzizungumzii. Kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.