Hivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea?
Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu.
Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua...
Unaambiwa ulimi wa chui ni mgumu kiasi kwamba unaweza kutoa rangi kwenye ukuta na kusaidia kutoa ngozi kwenye wanyama anaowakamata. Lakini cha kushangaza ulimi wa mwanamke ni hatari zaidi kuliko ulimi wa chui. Wanawake mmetishaaaa
Habari zenu wapendwa,
Natumai ni wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa Taifa
Kijana uwe wa kike au wa kiume ni lazima uijue japo kwa uchache elimu ya maumbile ya ndani kwa kusoma maumbile ya nje yaani kwa kumtazama usoni na miguuni tu au maumbile yaliyoruhusiwa kumtazama...
Nimeingalia movie ya EONII lakini haijanifurahisha kabisaaa. Advertisement waliyofanya AZAM ni kubwa sana lakini movie sifuri. Teknolojia iliyotumika ni kubwa kuliko movie yenyewe.
Characters waliocheza movie wamemezeshwa maneno ya kuongea hata mzuka haupo. Angalau Azam wangetafuta professional...
Habari zenu great thinkers. Natafuta mshirika/washirika ambao tutafanya kazi kwa pamoja katika kutengeneza softwares zitakazotupa utajiri. Ukweli ni kwamba ajira zimekuwa ngumu lakini tuna wataalamu wengi mtaani wenye utaalamu wa kutosha.
Kwa sasa natafuta software developer(full stack) na...
Wakuu nina mchumba wa kiislamu ambae tumeshibana sana na nataka nimuoe lakini imetokea changamoto kwa baba yake anataka nibadili dini na amekomaa kweli kweli.
Baba yake ni mtu wa dini na ni kiongozi kwenye BAKWATA. Binti hana maamuzi sana kwenye swala hilo anamsikiliza mshua wake.
Binti...
Wadau hivi hii katikakatika ya umeme inayoendelea ni huku kwetu tu au ni jiji zima la Dar? Huku maeneo ya kawe, mbezi beach, tegeta tunateseka sana. Naamini na maeneo mengine hali ni hiyo hiyo. Kwa muda wa karibu mwezi mmoja kumekua na hii shida kwa kiasi kikubwa sana.
Nakumbuka kipindi cha...
Wadau kuna mrembo flani hivi ni muislamu ila tumeelewana sana na tunatamani tuishi kama mume na mke, mm ni mkristo. Tatizo la huyo manzi hataki kubadili dini na ameshauri kama tukikibalina kuishi pamoja basi tukafunge ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Nawaza sana kuikabidhi ndoa yangu kwa mkuu wa wilaya...
#Yani kama ni mwanaume hata kama uhudumie familia yako kwa kiasi gani kama mkeo humridhishi kitandani hesabu maumivu.
#Mwanamke fanya kila kitu lakini kama humridhishi mwanaume wako hesabu maumivu.
#Wamama/wadada watu wazima tu lakini wapo na vibenten kwa lengo la kusuguliwa waridhike then...
Unakuta umekutana na mdada mtanashati mkabadikishana namba za simu, wengine hata siku haijaisha mmeanza kuchati kidogo tu utasikia.
#Baby mambo, naomba nitumie vocha ya buku jelo
#Baby nitumie buku tatu na mia nane nikanywe supu usingekutana na huyo mwanaume ungekunywa nini?
#Mwingine utamskia...
Kama mwanamke wako anakupenda kwa dhati na unampa vitu hivi na bado anachepuka ana majini..
1. Hela ya kutosha
2. Se..x ya kutosha--Mpaka anafika mlima everest
3. Care yakutosha--Unamnunulia zawadi, unamtoa out n.k
Wadada kuna cha ziada mnachohitaji zaidi ya hivyo??
Wanaume pigeni kazi...
Hivi inakuaje kidume unamtegemea mwanamke kwa kila kitu? Yani kidume vocha, mavazi, chakula, hela za hapa na pale anaomba kwa mke/mchumba wake na wala haoni aibu kabisa. Ni aibu sana kwa kweli kwa mwanume kutegemea kila kitu kutoka kwa mkeo/mchumba wako.
Mwanaume sharti uhangaike, hata kwenda...
Imekua ni janga la kitaifa kuhusu biashara ya ukahaba hapa nchini. Makahaba hata wakikamatwa na polisi huachiwa kutokana na polisi kukosa ushahidi.
Biashara hii imekua ikifanyika sehemu za wazi kabisa na maeneo wanayoishi wananchi hivyo kusababisha kero kubwa. Wazazi wanahofu kubwa kuwa watoto...
Wandoa mnaweza mkanshea nywila za ATM, Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel-Money n.k na waume/wake zenu? Kwa mliojaribu kufanya hivyo, nini changamoto na faida ya kufanya hivyo.
Swali la pili:Unaweza kumuambia mkeo/mumeo mshahara unaopata? Nini faida na hasara ya kuweka wazi kipato chako.
Hawa jamaa kila mwaka wanasindikiza timu nyingine. Msimu huu mechi nane tu kashadunguliwa mechi tatu kudadadeki. Hii timu naipenda na wengi tunaipenda ila Wenger na bodi yake hawajali hisia za mashabiki wao.
Kuiacha arsenal siwezi ila kwa sasa naacha kuangalia mechi za arsenal. Bora niangalie...
Yaani mwanaume akiwa domo zege ni shida sana. Unakuta mdada kampenda mkaka na kaonyesha dalili zote, lakini kutokana na mkaka kuwa domo zege anashindwa kurusha ndoano.
Hii ni sababu mojawapo ya wakaka kuishia kupiga punyeto. Hawa dada zetu wanapenda kutongozwa, akikukatalia mmoja mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.