Huwezi ukalinganisha mkoa wa Kigoma na Arusha kubwa sana mkipigwa mkubali tu! Hata ukiachana na wilaya za mkoa wa Arusha,chukua tu jijini tu yaan mjini pale zile kata 25 kama ni mkoa wa Kigoma unazo wilaya ngap? Tuje tena wakazi wa A City na Kigoma ni sawa?? Think 2 b4 comment,,, ACT MNAKUFA...
Polisi ndio wanajukumu la kuwalinda raia na Mali zake ndio maana wako wizara ya mambo ya ndani,kwa hyo ww ulitaka na jeshi liingie,jeshi aliwezi kuingia katika mambo ya ndani hapo watakuwa wanawaingilia Polisi jukumu lake labda itokee Polisi ishindwe ndio waliombe Jeshi ,NB Jeshi wao wanalinda...
Ni kitu kigumu na hakiwezi kutokea yaani,,,,Israeli ni taifa teule la Mungu (wa-Wakristo) kwa Imani na kamwe hakuna taifa linaloweza kumtisha Israeli na hata Marekani analijua hilo na ndio maana hamuachi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.