wakui kwema,
naomben msaada, baada ya kuupdate wins10 yangu version 2004 apps za windows zote hazifunguki kama photos, microsoft store.
naomba kujua tatizo ni nini au solution maana nimegoogle ila sijapata uvumbuzi.
Asanteni
Wakuu kwema,
Naomba msaada PC, yangu inajiswitch off wifi automatically nimegoogle njia mbalimbali ila bado hijakaa sawa.
Mwenye ufahamu maomba anielekeze ufumbuzi wake.
Wakuu kwema,
naomna msaada wa shule nzuri (mazingira na performance) za kidato cha tano na sita zinazopatikana mkoani Kilimanjaro na Arusha
Note
- Iwe boarding
- Mchepuo wa science na biashara hasa.
Asanteni.
wakuu vp.
nimepata changamoto kushindwa kupata apps ya kushare files kati ya pc na simu na nina hitaji sana.
nimejaribu blue stuck ila inazingua sana kwenye pc yangu na ipo slow.
nimejaribu kugoogle apps tofauti za kushare file kati ya pc na simu ila imekuwa changamoto.
naombeni mwenye kujua...
Wakuu kwema,
Naomba kujua performance kati ya hivi vifaa viwili vya kielectronic kwa aliyewahi kutumia mojawapo kati ya hivo au vyote.
Nimeshatumia S7 Edge version ya USA verizon (Snapdragon 935v). Ipo vizuri, speed safi, charge inakaa.
Maoni yenu ni muhimu sana wanabodi wa gadgets kati ya...
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kuna baadhi ya applications nilizipin kwenye taskbar, sasa leo ghafla nikaona hazionyeshi zile picha zake (icons) na nikifungua hazifunguki.
Naomba mwenye kujua namna ya kurecover hizo applications maana nimeenda kuzifungua kwenye window explorer nimeona...
Wakuu habari zenu.
Naomba msaada juu ya ku-update samsung s7 edge kutoka android 6 hadi 8(oreo) kwa custom room.
Lengo la kuomba ni kupata hiyo update kwa sababu hii simu ina verzon brand na sio international version, hivo nashindwa kuupgrade kwa njia ya kaiwaida inayotumika na wengi...
Leo nilikuwa naangalia habari KTN lakini niliona kiswahili kilichonifanya nifikirie.
Kwenye habari yenyewe ni kwamba pale walipotaka kutangaza idadi ya vitu katika @Percentage walikuwa hawasemi..asilimia 5 au asilimia 70 au asilimia 23
wenyewe walikuwa wanasema Asili 5 au Asili 70 au Asili 23...
Asanteni sana wadau, mnamo wiki chache zilizopita nilikuja hapa kuomba msaada juu ya rafiki angu aliyekuwa na tatizo ambalo mliliita BAWASILI (au HEMORRRHOID kama wengine mlivopenda kuita kwa kitaalamu zaidi).
Lengo ni kuleta mrejesho kuwa aliyekuwa mgonjwa amepona kabisa na amenipa shukrani za...
Niliapply diploma second round kupitia nacte, baada ya muda nikaambiwa nimechaguliwa SUA.
Jana SUA imetoa majina ya waliochaguliwa second round huku jina langu likiwa halipo.
Je nitakuwa nimekosa nafasi niaaply tena, kwa sababu nacte inanimbia Confirmation status ni "Pending"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.