Tofautisha usenge na uhanithi
usenge - ni hali ya mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile
uhanithi - ni hali ya kupoteza uanamme, yaani kushindwa kusimamisha vyema....
Wadau naomba mnisaidie kupata number za wahusika wa bendi hizi
B-Band and Banana Zorro
Inafrika Band na Wanne Star
Kilimanjaro Band
Please wadau nisaidieni
Hivi nyie watoto wa kike mkoje? ina maana ukiwa na Boyfriend lazima awe anakupa hela, ina maana unamuuzia uhusiano au? hebu acheni mambo ya kijinga kama mnafanyabiashara declare terms mapema ili kabla hamjaanza uhusiano ijulikake kama bond ni hela na sio mapenzi.
Ndio maana mnawasababishia...
Wadau naomba mnisaidie, nina experience ya kukutana na vibinti yaani niko kwenye hatua za awali za kutongoza hata kabla jibu la kukubaliwa au kukataliwa, binti anaanza kumwaga matatizo yake.... na ukikaa vibaya ooh kodi ya nyumba imeisha ooh tv yangu ni ya kizamani nahitaji Digital Tv oooh...
kaka kumbe wewe unazungumzia weupe wa wazungu..... hapo sikubishii wao ni mvuto less
lakini kitu cheupe cha kibongo hapo tutabishana mpaka basi.... ila isiwe mkorogo kitu natural
Sijui kama umesha kutana na hili
mabinti wanaojichubua wako na harufu flani mbaya na ni comon kama kuku alie nyonyolewa vile, sijui ni mafuta/mikorogoro yao au nini. yaani kinyaa... ila na sisi wanaume tuna moyo kula black and white (multcoloured).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.