Hapa IGP huwezi kusikia akiita press kuwashutumu na kuwaita magaidi watu wake! Huu sasa ndo ugaidi kutisha watu wajione hawako salama wanaweza kuchukuliwa mpaka majumbani mwao!🚮
Habari zenu, nashukuru kwa mada hii nzuri. Napenda kufahamu kama kuna mtu anamiliki gari aina ya Volkswagen polo... Kama yupo napenda kufahamu anatumia engine oil gani..
Pia nahitaji kufahamu mahali naweza kupata lock ya mlango na lifter ya kioo cha mlango wa kulia nyuma (rear right hand...
I cannot argue with you, Allah has placed a veil on your eyes and sealed your hearing... none can take it off you except him...better continue wondering in your contumacy, we shall meet on the day which there is no doubt! in sha Allah
[inafundisha watu kujitenga]
Sema kujitenga na uovu! Pia lengo la hijab (Stara) ni ili mwanamke atambulike kuwa mcha Mungu, hivyo alhadulillah kama lengo limefikiwa. Kuondoa hizo hisia zako mkuu basi wote wavae hijabu ili usitambue yupi ni yupi... wasiwasi wangu ni pale mtakapoona na majina...
People rather understand poor science than Allah's words with clear evidence! Mr Science can you explain to us, things came from big bang? who created that bang? and why that bang did stop happening to create more creatures?
I'm ashamed of you @ Food Engineer! Au ndo ulikuwa unajifunza kupost Jf? Hebu nimpigie Chove wafanye mchujo upya hapo Food maana naona hujaqualify kuwa hapo kama unashindwa kueleweka kwa mambo madogo kama haya!
Bora waanze msako wa mtaa kwa mtaa! I guess God has decided to take back his creatures in that fashion, he is the all knower the wise... I'm praying for them though
Nilimaanisha nafuu ya uchochezi inayofanywa na mataifa ya magharibi, watapata cha kuwashughulisha na kuacha kuchochea vita kwenye nchi zetu! Hivyo tutapumua kiduchu though athari za kiuchumi nazo zitakuwepo kwani tunawategemea kwa kiasi kikubwa ktk business
Siasa zinaididimiza Bukoba, huu ni ukweli usiopingika! We need changes za dhati na sioni mwanasiasa yeyote mwenye upeo na nia ya dhati katika kuikomboa Bukoba yetu, kila mmoja ana maslahi binafsi si kwa wananchi... we still have a very long way to go
Mpige vita ngono kabla ya ndoa, si matokeo ya ngono baasi... Mnafanya ngono mkitegemea nini? Haya ndio matokeo ya kutokuzingatia maadili, jiandaeni vilivyo maana lijalo ni kubwa zaidi ya mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.