Mandela hakuzingirwa na hofu ya wazungu nadhani. Yeye alikuwa ni lulu ya usalama wao. Mpango wa Ukweli na Upatanisho uliwafaidi Wazungu zaidi ya Weusi. Mfano Bram Fischer hitman wa weupe alisamehewa na wengine wengi. Mandela alikuwa nembo ya usalama wao wasingefikiria kumuua. Mawazo yangu tu.
Mlima Moria upo Yerusalem katika eneo la uwanja wa hekalu pembezoni walipojenga Msikiti wa Al Aqsa ama " Dome on the Rock". Wanaita wengine "temple mount."
Una maana ya Fidel Alejandro Castro Ruz? Sijui Marando anaingiaje hapo? Mnamsahau Chief of Operations siku hiyo, Didas Massawe, kwenye tukio hilo na hata magazeti yaliandika kuhamishiwa kwake CDA Dodoma baada ya hilo tukio. Tamimu alikua na makosa yake hata kabla ya kujiunga na kundi hilo la...
Kila kipawa kinahitaji ushauri, malezi na maongozi. Ulimwengu umekuwa na watu wengi wazuri ambao vipawa vyao vilikosa malezi na mashauri na vikaishia njiani. .
Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama...
Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani...
Kule kwa mganga walieleza kila kitu. Wale "wagonjwa" wengine lazima walipata ushahidi wa kukiri kwa walengwa wakuwa kwa mganga. Lazima walimweleza mganga awale kinga kwa kuwa walikuwa wameua. Sasa ukipata hiyo ya kukiri mwenyewe, "forensic evidence" (ushahidi wa kisayansi) wa nini tena...
Trump amefanya kazi sana japo anasumbuliwa sana pia. Kuna nchi moja ya Afrika yupo rais anayejaribu kweli kweli. Lakini daah, upinzani na kejeli anazopata kubwa sana.
Watu humu wana uchungu Kweli wanakosa pa kuutolea. Ukisema kitu kinabadilishwa maana haraka sana. Ila umemjibu vizuri na kistaarabu. Ipo tofauti kubwa kutoa taarifa kama hiyo na tunayosikia juu ya wale waliomo humu wenye utata na uraia wao.
Hao Sidi wamewahi kutembelea Tanzania na kushiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.