Nitakuunga mkono kwenye maandamano. Mimi waminiharibia mashine ya zaidi ya million tano juzi. Watu wanaofanya hivi ni mashetani tena mashetani ya kuzimu kabisa. Ni wapumbavu hawajawahi kutokea!
Hivi mpiga debe wa daladala anaweza kuwasemea wavuvi? Hiki ulichoandika kwa maneno makali ni utumbo! Wewe hujui chochote kuhusu kilimo bora kukaa kimya! Masoko gani ya uhakika yaliyopo? Sera zipi zitawezesha kilimo biashara? Mwaka juzi serikali ikasisitiza kilimo cha alizeti ili nchi ijitegemee...
Kwa mtindo huu bado wanasema Magufuli alikuwa mbaya. Kwa nini kila kitu kilikufa na Magufuli? Mnafikiri sisi Watanzania ni wapumbavu? Tunawaelewa viongozi wa hovyo. January Makamba umejipambanu wewe ni kiongozi wa hovyo kabisa.
Kati ya upumbavu wa hali ya juu uliopo Tanzania ni kutokuwa na makampuni binafsi ya umeme. Tanesco inanyanyasa watu kwa sababu ipo peke yake. Watanzania tunapaswa kuilazimisha serikali kutunga sheria itakayo ruhusu makampuni binafsi kuzalisha na kusambaza umeme. Tukiweza tatizo la Tanesco...
Hakuna kitu inauma kama hii. Mpaka baba anakufa hawakuwaambia watoto kwamba baba anaumwa. Ghafla baba amefariki. Halafu wale waliomtukana baba wanakaribishwa nyumbani. Kifo cha baba kina utata sana😫😫😫😫😫😫😫
Hebu tufikiri kidogo. Hayo mabwawa yamepata kibali kwa nani? Na kama hawakuwa na kibali mamlaka zilikuwa wapi mpaka maji yanapungua na kufikia hali hii?
Hebu fikiri, umepewa mafunzo ya ujasoriamali wa ufugaji samaki. Umechukua mkopo, umejenga bwawa na umeweka mbegu ya samaki halafu mtu anakuja...
Raisi yupo sahihi kabisa. Watu kutoka nje wanaongeza sana ajira hapa Tanzania. Mara nyingi ajira zao ni rasmi. Wao huajiri wapishi, walinzi wabustani nk. Hawa Watanzania hupata ajira rasmi. Mimi ningeenda mbali na kuruhusu watu wa nje wawe na access hata ya kustaafu na kuishi hapa. Fikiri...
1. Tabia ya kulindana ikomeshwe.
2. Kuwe na mifumo thabiti na yenye uwazi juu ya mapato na matumizi ya fedha.
3. Wafanyakazi wapumbavu waondolewe mapema.
4. Wafanyakazi wa serikali wapewe mafunzo ya fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.