Naungana na wewe Bw.Magobe T,
Siku zote walio wachache ndio wanopata uwezo wa kuwatoa wengi wasio na uelewa au larama ya utambuzi.
Hivyo ndivyo nionavyo kwa Slaa na waTZ wengi wasio na elimu ya kutosha na utashi wa kisiasa/uraia.
Nionavyo mimi ni kwamba umaarufu wa Dr.Slaa umeongezeka...
Jamani tunaongelea magari?
Me nadhani kuna mambo muhimu zaidi kwa nchi hii na watu wake masikini kuliko aina ya gari linalotumiwa na rais.
Watanzania wangapi wanatumia magari ya kawaida na maisha yanaenda vizuri,hawafi wala kuugua mushindwa kutimiza majukumu yao,tena katika mzingira magumu...
Bariadi ni majirani zangu jamani,Wadhungu wanaita walking distance.
Nimeongea na chanzo cha kuaminika ni kwamba wameweka makompyuta pembeni wanahesabu kura kwa mkono.
Uwezekano ni jioni hii matokeo kuwa OUT.
Tuache uzushi jamani,moyo ni kiungo nyeti sana!
Sehemu nyingi watu walikuwa wanashangilia walkidhani wameshinda pia lkn hali haikuwa hivyo-uchakachuaji;Tunarushana roho-wengine tuna midadi ya kushangilia tusijeonekana wehu baadae.
Ni kweli ukizoea cha Kunyonga cha kuchinja kutakiweza.
Kuanzia sasaivi ni mwendo wa vya kuchinja tu,hakuna kunyonga tena.Tuone kama watakwenda kwa style yetu.
Swain-Swandaladadae++!!
Kidogo-kidogo tutafika!
Mimi hasira zangu kwa CCM na Tume ya Uchaguzi sijui nizielezeje.
Na hao wasimamizi wanarubuniwa vipi lakini?Ni Njaa kali au nini?
Lazima bunge litabadili katiba hv karibuni na mambo haya ya NEC na CCM kuwa mashoga utaisha.
Inawezekana ni U'Dr' wa kuchakachua kweli!
Ukifika mahala ukakuta mtu anaitwa "Maliyatabu" utajikuta tu unamwita jina hilo na ukiambiwa na wenyeji kuwa hilo sio ljina ake halisia unabadilisha.
Nami nabadilisha;ni Bwana.NCHIMBI na sio Dk.Nchimbi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.