Kwa kifupi:Kwa ninachofaham Yesu alipokua akiishi duniani wayahudi waliendelea na taratibu zao za kawaida. Pasaka ilikua moja ya sikukuu zao walipokumbuka kutoka utumwani -"Exodus."Kwa bahati nzuri au mbaya Yesu baada ya kufa nae alifufuka siku ile ile ya ile sherehe. Inaruhusiwa kunisahihisha...
Kama mwanamke najisikia kudhalilika sana wanawake wenzangu wanavyolilia hizo 50/50. Kwa nini mtu asifight kwa nguvu zake? Nachukia sana hii mambo ya kubebana kisa tupate 50/50.. Kwa swala la elimu ni sawa mwanamke apiganiwe maana elimu ni kufight. Akishamaliza shule anaanza kubebwa.. Akishabebwa...
Acha kutisha watu basi! Ina maana hakuna mwenye akili nchi hii zaidi ya magu? Usitupeleke enzi za Nyerere. Alivyochagua mheshimiwa rais ana maana yake na sababu zake lakini isiwe sababu ya kuona watu wengine hawana akili. Punguza mihemko
Mheshimiwa kapigiwa simu clip nzima iko youtube link kwenye insragram bio ya mange. Mazungumzo yake yameegemea sana kumuangushia jumba bovu dadake! Anaongelea mpaka mahusiano ya dadake na jamaa.. Sidhani kama kulikua na haja hiyo.. Kwani angekataa kuzungumza wangemfanya nini.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.