Ulikuwa hujui? Kazi ya chama cha upinzani ni kuchochea moto na kuwachanganya upande mwingine! Kama Chadema wanafanya hivyo ndio wajibu wao hasa na wanatenda sawa. Ingeshangaza CCM wavurugane huko halafu Chadema wakae kimya bila kutia neno!
Unajua nini kinaenda kutokea? Kama kweli bei katika soko la dunia imepanda basi hakuna zaidi ya wiki kutakuwa na uhaba mkubwa wa mafuta nchini. Wafanyabiashara hawatakubali biashara ya hasara!
Lugha mbaya sana dhidi ya wazazi wa Hamza! Hii inaweza kuongeza uhasama! Hawa viongozi wetu kwa nini hawachuji kauli zao kabla ya kuzitoa? Juzi tulisikia matiti ya kina dada... leo wazazi wasizae hovyhovyo watoto km kina Hamza! Nadhani baadaye akitafakari hii kauli atajilaumu sana!
Sabaya ana kesi tofauti tofauti! Ya kwanza ilikuwa unyang'anyi wa kutumia silaha. Hii ni nyingine tofauti ya uhujumu uchumi. Bado zipo nyingine zitafuata ambazo zipo kwenye upelelezi! Hawezi kuchomoa zote!
Hivi unawezaje kudhibitisha bila kuacha chembe ya shaka dhamira ya mtu kutenda jambo ambalo halikutendeka? Ili tuhuma ya ugaidi idhibitike bayana ni lazima hujuma halisi iwe imetokea au kuwe na ushahidi wa moja kwa moja kwamba hujuma husika ilikuwa inakwenda kufanyika bila chembe yoyote ya...
"Asije akajaribu kuwaridhisha waliochukia Magufuli ili wamuunge yeye mkono au asije kuwaweka pembeni waliompenda Magufuli ili wengine wamuunge mkono. Ni kweli ameingia katika mazingira ambayo hatujawahi kuyapitia lakini kisiasa anatakiwa apime na atafute njia ya jinsi gani atavuka kwenye waya...
Nimeshangaa kusikia matangazo redioni yakihimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha la mwenge na mkesha Dar es Salaam. In particular nimemsikia DC wa Kigamboni akihamasisha na kusai kutakuwa na wanamuziki kibao kuhanikiza shughuli hiyo ya mwenge. Nimeshindwa kishangaa! Nini tubafanya...
Dah, tuna bahati mbaya kiumbe kama huyu kuwa associated na Chadema. Anatumia nafasi hiyo vibaya! Hopeless kabisa! Yaani analazimika kuwafurahisha CCM ili mke wake asinyanganywe tonge!
Daraja la Kijazi.... Daraja la Mfugale.... huku sio kuchuriana? Wazee wa maeneo husika wamekasirika! Turudishe majina ya asili ya maeneo husika! Daraja la Tazara, Daraja la Ubungo, stendi ya Kuu ya Mabasi Mbezi Louis!
Competence based curriculum ni jina tu ndugu. Ni empty vocabularies zisizokuwa na uhalisia. Ninafuatilia sana wanachofundishwa watoto na vitabu wanavyosoma, sijaona huo mtaala mpya ukiakisiwa kwenye vitabu na ufundishaji! Unapozungumzia competence based curiculum unazungumzia imparting knowledge...
Usijali ni katika kunogesha tu mjadala.
Kwa hiyo wewe unakubaliana na watoto wetu kubakizwa shuleni kukaririshwa mitihani? Kama mdau mkubwa wa elimu ulishayajaribu maarifa ya wanao kuona kama kuna chochote wanachopata zaidi ya kukariri maswali? Unajua kwanini baadhi ya watu hapa wanaungana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.