Hayo ametamka Mh Rais wakati anamalizia hotuba yake ya kupokea ripoti ya uchunguzi ya madini ya Almas na Tanzanite.
Asante Rais kwa kusema wazi kwamba upo kikazi.
Ajali mbaya imetokea usiku huu mbele kidogo na kituo cha Picha ya Ndege.
Chanzo cha ajali bado haijafahamika . Watu wengi sana wanachota mafuta aina ya Diesel kwenye ndoo na madumu.
Polisi wamefika wamewatawanya watu.
Napenda kujua chanzo cha ugonjwa wa mchango kwa watoto wadogo na mbona inasemekana hakuna dawa ya hospital inayotibu?
Kwanini dawa za kienyeji tu ndizo zinatibu?
Napenda kujua wana JF
Kile kinachoonekana kutokujiamini kwa mgombea wa ccm, amesikika akiwaita wale walioguswa na hotuba yake ili watoe ushuhuda na kurudisha kadi za chama pinzani. Huu utaratibu unamshushia hadhi yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.