Search results

  1. M

    Zitto waweza rudi sasa mambo ni shwari

    Atakuwa mkimbizi ndani ya nchi yake? Acheni utani pigeni kazi kuunga mkono jitihada za Mh Rais JPM.
  2. M

    Hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?

    Ikikaza uchafu ndani si huwa unaenda kutupa jalalani ni manii nazo zikijaa huwa zina dustbin zake
  3. M

    Tutaje majina ya wasanii wanaobwia Ngada na Bangi

    Piriton nazo ni nomaa zaidi ya bangi
  4. M

    Wakatisha tiketi mwendokasi ni jipu

    Kadi zipo unaropoka kuhusu tiketi huo ni ujinga wako kama hutaki kuibiwa kanunue kadi ili ubaki na hizo hamsa hamsa.
  5. M

    Waalimu wahamia kuendesha bodaboda na kupiga picha mitaani

    Hapa kazi tu ili mradi uko kisheria
  6. M

    Dawa ya mende ni nini?

    Cha msimgi ni kutathimini kama kuna mashimo ya choo waga mafuta ya taa ukianxia kwenye bomba za choo/tumia oil chafu
  7. M

    Mbona ni kama bwana Trump anatawala kabla ya kuapishwa?

    Ya madawa yamrkushinda umehamia nchi zilizoendelea.
  8. M

    Moyo wangu si wachuma, nimsamehe Mara ngapi!

    Matatizo si tatizo ila ni hatua ya kuusogelea utukufu
  9. M

    Kwa msaada zaid Soma hapa

    Magroup yanapoteza muda wa kufanya kazi
  10. M

    Kwa msaada zaid Soma hapa

    Weka yako tukutafute kwanza
  11. M

    Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

    Maelezo yanayoanza na mimi kama mimi yananikera sana
  12. M

    Tv bei poaa

    Bland name plse
  13. M

    Kisheria Lema anaweza kutorokea nchi nyingine

    Kimsingi sijaelewa ni maneno gani ya uchochezi aliyoyatamka Mh amayesota jela naomba mmoja aelezèe kwa ufupi sana.
  14. M

    Nini maana ya kauli hizi 'janga la njaa' na 'uhaba wa chakula'?

    Wilaya yangu haina janga la njaa bali inauhaba wa chakula. Nini tofauti ya kauli hizi mbili?
  15. M

    Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa Kisiwani Pemba - Oktoba 03, 2015

    Sasa kama imeshafutwa shein alipitaje? Tueleze mkubwa
  16. M

    Sitta Ataka Mdahalo na Lowassa Kuhusu RICHMOND; Asisitiza Kuwa Lowassa ni Fisadi!

    Akina sita wafanye mdahalo kwanza na wahusika wa Escrew. Muhongo, ngereja, prof tibaijuka na rugemalila akiwemo na mkurugenzi wa mkombozi bank.
  17. M

    Msaada bodi ya mikopo tafadhali!

    Ukiangalia fomu yako kwa juu imejieleza mahali walipo kila kitu kiko hapo mpaka anuani yao na Telph no waweza kuwapigia kwa maelezo zaidi. Au hiyo fomu kuna mtu alikujazia nini?
  18. M

    Tabia 10 zinazokufanya uonekane si Msomi au mtu aliyeelimika

    Ukiangalia sana hata kingereza chenyewe ni majanga harafu ukumbuke kuwa msomi si kujua lugha hata kigogo ni lugha lakini hukijui.
Back
Top Bottom