Search results

  1. James7

    Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

    Sio kweli. Kimkakati (strategic) na kijeshi (military) huwezi kutumia hata nusu ya nyenzo, u aweza pigwa kama kenge mwizi siku za usoni.
  2. James7

    Nyumba hii yenye miaka 700 ipo Iran

    Wairan si Waarabu.
  3. James7

    Nyumba imejengwa juu ya kaburi la Abushiri bin Salim al Harith

    Mwaka 1914 ulikuwa mwanzo wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, na si ya Pili kama ulivyoandika. Pia nashauri uwe unaandika ulivyovipata, kisha maoni yako yawe mwishoni.
  4. James7

    Kisumu vs Mwanza

    Ukosefu wa mashoga. Sangara Sato
  5. James7

    Kisumu vs Mwanza

    Wanajitekenya kisha wanacheka 😂
  6. James7

    Toa list ya nyimbo zako kali za zamani "best of all times"

    PM Dawn - I'd Die Without U. Kali mno
  7. James7

    Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

    K-Vant ni noma. Inafuta kumbukumbu ile.
  8. James7

    Demokrasia ya Tanzania ni nzuri kuliko ya Marekani, hapa Rais hawezi kuratibu maandamano ya ghasia

    Acha kutulisha matango-pori. Harry Truman, Richard Nixon, Lyndon Johnson, Jimmy Carter, George H.W. Bush na wengine wengi walitawala muhula mmoja tu.
  9. James7

    Kenya yaeleza sababu ya kuiruhusu Tanzania, wakenya waipinga na kuilaumu Serikali yao, hongereni wakenya

    When the Kenyan gov't brings its people down to their knees due to its miscalculations, they should not start their witch-hunt in TZ. Each nation has a lot of their own to do. Guys, stand up and keep moving. You're better than that.
  10. James7

    Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

    Rosta Ndunguru
  11. James7

    Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

    Thuwein Ally Boi Iddi "Wickens" Frank Kassanga '"Bwalya" Merhod Mogella "Fundi" Hamisi Gaga Masoud Suleiman "Chile" Issa Lambo Victor John Bambo Said Mwamba Nassor "Kizota" Mhando Mndeve.
  12. James7

    Sasa ni dhahiri adui wa mrusi si ISIS bali ni Us...Su 57 zimetua rasmi Syria

    Proxy wars are never meant to be fought at home.
Back
Top Bottom