Nahitaji kujua,' Ilikuwaje TLS iwekewe kanuni mpya kabla ya uchaguzi wa majuzi kwamba Rais wa TLS asiwe kiongozi wa chama cha siasa?" Ni nani aliweka hiyo kanuni? Ni nani anaikontroo TLS?
Mwanahabari Huru Hamkuongea lugha ya Mtanzania wa kawaida bali mliongea lugha ya viongozi wa Chadema pamoja na yale majizi ndani ya nchi yetu, Siku hizi ktk makanisa ya KKKT harambee zimebuma ndo maana mna hasira ya kukosa pesa za wizi. Mbona Watanzania wa kawaida tuko poa tu,tunaendelea kupiga...
Hakuna mtu muongo na mnafikia kama Mchungaji Msigwa,alituambia kwamba atakayemshabikia Lowassa akapimwe akili, cha ajabu yeye ndo akawa ktk watu wa mwanzo kumshabikia Lowassa na akili hakupimwa,kwa mantiki hiyo Msigwa ana matatizo ya akili
Msigwe atulie maana alianza kujihami mapema kumbe alijua na yeye ana kimeo, hapo kabla nilidhani jogoo wa Msigwa hawiki kumbe yuko fit, asubiri DNA itaamua
Tatizo letu wapinzani tumekuwa watu wa kubeza kila jambo. Suala la migodi kuzungushiwa ukuta ni jambo la kawaida kabisa tena kuna migodi mingine ina kuta zaidi ya moja,nenda Buzwagi,Bulyanhulu,Stamigold,North Mara,Geita kote huko kuta zimezungushwa tena zimewekewa na umeme. Jebra Kambole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.