Rorya hakuna shida kabisa tulikua hatumtaki tu ODUNGA
Alikua ni uzao wa mwenda zake alaf hakuna na uwelidi wa kazi.
Tuacheni na chopanga wetu lakini sio hawa walioletwa kwa ajili ya kukomesha au kudhoofisha chadema.
Mimi nakubali kufanya hivo unavotaka,
Lakini kama ni kuenjoy tu naruhusiwa kukupenda na kukuonea wivu?
Maana nikishaamua kufanya yote unavotaka lazima karoho kataniuma nikikuona na mtu mwingine.
Ivi ndiyo style tunayo katika nayo wanachadema,
Alivokua anamkatikia magufuli alidhani sisi hatuna viuno vya kukatika, hii ndiyo style yetu ya kukatika,
Fyekelea mbali Swain.
Sasa unata katufanyeje?
Shida ni kwamba Matatizo hayaishi!
Matatizo yanapungua tu
Magufuli amekufa tumefurahi sana.
Heri matatizo mengine ya kimaskini, Lakini sio matatizo ya mauaji.. Magufuli ameua watu Sana tena watu muhimu kwenye familia zao.
Mungu Fundi
Mimi simkumbuki Magufuli nakumbuka kodi zangu,alizochukua nyingi na kibabe.
Na hizo kodi zangu ndo imejenga kilakitu sio Magufuli.
Nikiona barabara nasema kodi zangu zimefanya kazi na sio magufuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.