Ndugu huwa unakazi ya kufanya ? Badala ya kufikiria maendeleo wakalia majungu na ndiyo maana hatuna maendeleo kwa ajili ya majungu yasiyo na tija kwa taifa
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Manyerere wacha kuwadanganya watanzania wenzako hili swala la child labour kwenye machimbo ya tanzanite (mererani) lipo tena ni la muda mrefu BBC wapo sahihi .
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Mwaka 2000 wakati kina RA wanahangaika na urais wa JK wenyeviti wa mikoa wengi majority if not all walikuwa wanajengewa mpaka nyumba just to win their support then magazeti na social media hazikuwepo kazi ilianza Mara tu baada ya 1995, JK and team wamefanya kazi kwa miaka kumi engineering the...
Mwaka 2000 wakati kina RA wanahangaika na urais wa JK wenyeviti wa mikoa wengi majority if not all walikuwa wanajengewa mpaka nyumba just to win their support then magazeti na social media hazikuwepo kazi ilianza Mara tu baada ya 1995, JK and team wamefanya kazi kwa miaka kumi engineering the...
Hana jipya huyo , amesahau alivyo temwa na Nyerere kwenye mchakato wa ungombea uraisi kwasababu ya kuchukuwa mzigo tokea uarabuni
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Duh Chief Kiumbe Big Boss basi hatuna haja ya kuumiza kichwa , awaulize kina Matonya majibu yatapatikana .
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
A Leader that is afraid to let its people judge the truth & falsehood in an open market is a leader that is afraid of its people.
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka DSTV wana instal kwa sh 129,000/ garama kwa mwezi inategemea unahitaji pack gani zipo za kuanzia 15,000 mpaka 129,000
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kwahili bado lina mtihani mkubwa hebu soma hapa Citizen tv wanavyosema ! CitizenTVNews: Cracks emerge on the TNA,UDF,URP alliance after a section of MPs insist that Kenyattas name must be on the ballot paper .
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Hakuna aliyemsafi ccm kuanzia anayelalamika mpaka wafuasi wake kama yeye ni msafi hatuambie hela za Gadaffi zipo wapi ?kama cyo ndizo zinazotumika kwa rushwa na migawanyiko ndani ya ccm ?
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.