Jamani nilikuwa najua watu wanaompinga kikwete na utawala wake ni wasomi wengi wao kumbe hata watu wa kawaida wanaona hali ya hewa ilivyo na wamesoma alama za nyakati. Nilikwenda kumchukua wife wangu salon moja huko sinza na leo mkulu karudi television karibu zote zimejaribu kumuonyesha airport...
kazi ipo bongo safari bado ni ndefu na humu JF watu wanabishania vitu vya kipuuzi wewe umepewa taarifa tu tafakari mwenyewe ukweli utajulikana tu.Mtoto wa raisi anakutana na mtu mwenye utata Tanzania hii na wengine wanaona wala haina neno jamani.
hUYO KALAGABAHO NDIO MWANACCM WA WAPI? HATA KWENYE UKWELI ANAPINDISHA MANENO?ACHA UNAFIKI UMELEWA? KINACHOTAKIWA NI LEMA AWASILISHE USHAHIDI WAKE WEWE UNASEMA CHADEMA TUMEPOELEKA WAHUNI WAHUNI WAKO WAPI? WE UNA AKILI KULIKO WATU WOTE WA ARUSHA WALIOMPA LEMA USHINDI.SHAME ON U, MWANGALIE VILE...
Yaani hawa jamaa walikaza kwa kweli 18 days mmeacha mambo yenu mpo liberation square huu ndio uhuru kamili wa wananchi hakuna mjadala. Leo hii kweli twaonekana waoga ilka siku yao ipo patakuwa hapatoshi. Leo wanaccm akina makamba, tambwe na mkwere hawapati usingizi wamejua nguvu ya umma sasa...
kwenye skynews jamaa waulizwa kwa nini wanataka raisi wao aondoke, wanakwambia no food, no money and no home he has to go" na wanaongea kwa uchungu hatari kweli watu wakichoka hakuna jinsi, inakuja hii tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.