Kutokana na chanzo kilichonitonya habari hizi kuwa ni cha idara nyeti ya serikali naomba kutoa hoja kama ifuatavyo:
Katika kukurukakara za kujiandaa na uchaguzi huu wa mwaka 2010.. kuna habari kuwa kuanzia mwaka 2005 waziri mmoja wa awamu iliyopita ambaye ana mkono wake TICS alianza kulipwa...
wana kaya kuna tetesi katika pita pita yangu kuwa mkuu wa kaya anataka kumpatia mh. 6 uwaziri fulani ilikumpoza na machungu ya kukosa nafasi ya kugombea uspika wa JMT kwa tiketi ya ccm.
wanasema ukila na kipofu usimshike mkono...hii sisiem wamewashika mkono watanzania wengi mno na hakika dhambi hii haitawaacha milele.. iko humu humu Jf ni kuhusu mkutano wa la cairo. hutaamini dharau tunazofanyiwa
Ukifuatitilia kwamakini utakuta kuwa majimbo yote yaliyokuwa icu upande wa ccm na yakachakachuliwa kuyarejeshea oksijen, mzee marope ndiye aliyetia timu na kulazimisha kutangazwa matokeo tofauti wakiahidi ulinzi kwa watangazaji na mengine mengi. mf. shinyanga mjin, kibaha mjini na mengine mengi...
juzi na jana watu wengi maarufu na ambao wakikohoa tu vyombo vya habari vinaandika hatimaye wanadai kuwa DR Slaa anazeeka vibaya we riz wa jk, we rost azim nyie uhai wa inji hii kweli leo Dr.Slaa huyu huyu mzee wa data na ushahidi unaowakoroga serikali mahali anapokuwa anautolea maana unatoka...
tetesi nilizozipata kwa siku nzima ya jana kufuatia matokeo ya utata yaliyotangazwa kwa mizengwe ubunge kwa jimbo la kibaha mjini ni kama ifuatavyo:
kasheshe ilianzia kwenye kura za maoni za ccm...ambapo alipita mh. s.koka na ikidaiwa alihonga sana. lakin kamati kuu ya ccm makao makuu ilikuwa...
hii haijakaa njema ccm inatangazaa kukubali matokeo waliposhinda wao kiulaini lakini hali inapokuwa ngumu wao ndo wa kwanza kkuweka ngumu,,,,,,,,,,,,hii haijatulia
wana ccm wahaha kumuomba aliyekuwa mgombea kijana kabisa na machachari wa chadema Mh. Habib Mchange asitishe wazo lake la kupinga matokeo. yadaiwa mawasiliano yafanywa kutoka uongozi wa juu wa chama cha ccm. kijana agome mngindo na mzaliwa wa hapahapa kibaha mjini akataa katukatu.
inadaiwa masanduku kadhaa ya kura yaliingizwa katika ofisi ya msimamizi wa jimbo na form fake za kutangazia matokeo. hali iliyosababisha wasimamizi wanne wa vituo fulan fulani kuitwa kwa mahojiano. lakin ikagundulika hiyo ilikuwa janja ya nyani kwani kutoka chanzo cha ndani kabisa hayo masanduku...
hali ya uwanja wa utetezi bungen inaleta raha usipime, jaribu kuvuta picha, huku mnyika, huku silinde, huku g, lema, huku wennje,hukku mh. mrII, huku shibuda,kona hii mbowe, kona ile salakana, kule napokiboko nyerere, huku tundu lissu, huku mdee na wengineo kibaooo........... tupen raha wanyonge...
yadaiwa mgombea wa chadema alitakiwa kupewa mil. 270 alikataa. baadaye inasemekana ujumbe kutoka kwa jk ulikutana na mgombea wa chadema na kumuahidi kumpa bil. 1.2 aachie jimbo akakataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.