Mtumishi wa umma anatakiwa awe ofisini kwake.Banker anatakiwa awe Benk,polisi awe sehemu yake na hata mtu wa TRA.Hivi hawa wanaweza kufanyia kazi nje ya ofisi kwa zaidi ya mwezi mzima?Na majarada au wananchi wanaotaka huduma yako wakufuate sehemu ulipo?
Ghalama za mtu kufuata huduma ya...
Wananishangaza sana DrNtuyabaliwe Foundation walikuwa wanajrekebisha maktaba Tandale watoto wa Ntuyabaliwe sasa hivi watachukua Dr Mengi Foundation sasa watoto wa Mengi waende kweny foundation ipi?ye kashika ya marehemu Baba yake na wameshika foundation ya Baba wa wenzake yaani watoto wa...
🙏 Nadhani tungetoa mapendekezo kama hivi ili sheria ibadirishwe na bunge ikasainiwa na Mzee baba.TRA hawawezi kubadiri sheria mwenye uwezo huoni bunge.sasa je bunge litafanya maana ata wenyewe suluhisho Lipo mikononi mwao.
Nakubaliana nawe muhenga mwenzangu.Tafakuri Tandahimba kuna kiwanda kikubwa cha kubagua Korosho kinaitwa AMAMA FARM ni m Sweden ila changamoto kubwa waliyonayo ni upatikanaji wa Korosho ghafi. Mwaka huu alifunga kiwanda alipokosa malighafi akitangaza kukiuza.Na sasa ameshindwa kabisa malighafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.