Daah! Jamaa nilikuwa nakutana naye sana sinza nyumbani kwake pale karibu na soccer city, alikuwa mtu mkarimu sana. Kweli watu wema hawadumu jamani.
Pole sana kwa mke wake Rose Mdami pamoja nawatoto. Mungu awape nguvu na uvumilivu hasa katika kipindi hiki kigumu.
Yaani Dunia yaleo watu wana mitego mingisana. Mi niliwahi kumpiga kitu mke wamtu kitandani kwake ila alinitega vbaya sana. Alivizia mmewe amesafiri akakolofisha decoder ya dish ya room kwao then akanipigia simu fundi njoo leo jamani usikose nakuoooombaaaa. Duuh!! Nilipofika tu kwanza...
Umenena sawa kabisa mkuu. Wenzetu wanakwenda kwa fashion na si vinginevyo. Nawala sio kwenye magari tu bali nikaribia kila kitu. Nilikuwa word cup Brazil 2014 niliona mambo ya ajabu sana kwa wenzetu. Jezi za nchi mbali mbali zenye majina ya stars wao kabla ya mechi utakuta jezi moja ni...
Daah! Mkuu nimecheka mchana huu nahivi sijauona vizuri inabidi niwahi Kwa mamantilie anijazie ukoko wangu[emoji23] [emoji23] !! Kwamba nimwendo wakusifu tuu!? Hiyo ndo tabia original ya mwafrica ndg yangu. Hata akiwa uchi wamnyama ukimwambia Mzee nyeti zako ziko nje unalo hilo. Anataka umwambie...
Mimi nadhani haya matamko badala yakujenga yanazidi kubomoa. Maana kwa kasi hii yamatamko hakuna ajuaye kesho litatamkwa lipi? Wanatujengea hofu zisizo na ulazima wowote. Huku niserikali kujijengea chuki Kwa raia bila kujijua. Maana leo inteljensia imesema hivyo ndani ya vyama vya siasa, kesho...
Sidhani kama kuna mtu amefurahishwa nahili tukio. Kinachoonekana watu wana maduku duku mioyoni mwao juu yautendaji wa jeshi la Polisi. Kwahiyo nimuda muafaka nadhani kwa jeshi letu kujitathmini upya utendaji wake dhidi ya raia, ili matukio yakusikitisha kama haya yanapotokea wapate sapoti ya...
Mkuu vipi ukishafikia level yakumiliki ghorofa nne au zaidi ukaziuza, pesa zote ukaponda raha navimada hata watoto wako wasiambulie hata mia, then baada ya maisha kukupiga ununue nyumba aina ya Tembe[emoji3] [emoji3] . Kwahiyo jamii inayojua historia yako unataka ikupongeze kwa hatua uliyofikia?
Yaani mkuu hii nchi imejaa mamburula sijui kamatuko sawa na binadamu wengine. Watu wakohumu wanasifia ujinga huu wakati tulishakuwa nashirika kuubwa la ndege, Ccm hao hao na serikali yao wakaziuza kwa bei ya bajaj nahela wakatia mifukoni. Kabla yakusifia huu upuuzi watu tunapashwa kuhoji zilipo...
Hizi siasa mkuu wakaya asiposhauliwa vizuri nawashauli wake atatuingiza matatizoni najirani zetu Kenya. Haiwezekani eti Odinga ndo swahiba wake, ona sasa anaanza eti kuongelea upinzani wa Tanzania kisa nirafiki wa Rais. Urafiki wao waendelee tu ila anapojaribu kuingilia siasa zetu ajue kabisa...
Duuh!! Ona sasa mnatoa watu mikoani huko mnawaleta Dar mnawapa vyeo then wanajisahau kwamba niwakuja, ona sasa matamko yao. Hivi wanajua kula chapati kweli hawa watu? Ukiwapa wale siwanakunja tu hawa? Alafu leo wanajifanya wao ndo wana Dar siyo? Bahati yao brother Ditto alishatangulia mbele ya...
Mh.Naibu waziri huenda unayosema nikweli kabisa tena kweli tupu. Isipokuwa kinachoacha maswali nyuma ni je, inamaana nchi nzima hii Dr.feki ni huyo Mwaka tu? Tupe record ya wengine uliofatilia wewe binafsi huko Kigoma, Mara, Sumbawanga, Namtumbo nk maana wewe niwaziri wanchi nzima hii siyo afisa...
Sikuzote alikuwa wapi huyu sijui nani? Angeyasema haya kipindi kilekile kidooogo ningemuelewa. Sasa pamoja nayote hayo anayodai bado wote yeye na mumewe wakaingia kuwania ubunge kupitia chama hichohicho kilichomfanyia ubaya huo? Kweli mtu mnafiki nimbaya sana. Bora uishi nanyoka ndani kuliko...
Kabla yakushangilia hizo ndege unapashwa kujiuliza kwanza zile tulizokuwanazo ziliendaga wapi? Nani alizihujumu? Yukowapi? Serikali ilimfanya nini? Nk. Maana kwa uholela tulionao nchi hii usishangae baada yamuda nahizo zikapelekwa hukohuko zilikopotelea zamwanzo nabado watu tutakuja humu kutetea.
Dah! Umeongea point kubwa sana mkuu. Akiri zakuunga siorahisi kuelewa ulichoongea. Watu wanapenda tu kusifu hata upuuzi ilimradi aliyesema au aliyeufanya nimtu flani. Kumbe wangemkosoa kwakuwa naye nibinadamu may be angejirudi. Ndo watu wenyewe wanchi yetu lakini tutafanyaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.